Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
hakuna dharura, bali amesema mazungumzo yaendelee, kumbuka mama samia alikuwa makamu wa rais anajua kinachoendelea, na kwa nini mazungumzo yalikwana,0 na nani alikwamisha.SSH na TPDC nani ana taarifa sahihi zaidi? Kuna umuhimu gani wa kuingia mkataba mkubwa namna hiyo kwa dharura?