LNG plant in Lindi

LNG plant in Lindi

natamani SSH aachane kwanza na project kubwa kama hizi kwanza mpaka amalize mda wake. akija mtu ambae ana balls za kusema no kama JPM ndio afanye hivi vitu.
Acha dharau.

Mh Samia ni raisi kamili. Anatosha kufanya maamuzi sahihi kwa kutumia wataalamu wanaomzunguka.

Tatizo la Magufuli alikuwa anajifanya mjuaji wa kila fani hivyo kuwazuia wataalamu kutimiza majukumu yao. Tunao wataalamu wa kutosha kwenye sekta ya gesi wakiongozwa na gwiji dk Mataragio ambaye ana uzoefu mkubwa.
 
SSH ni Rais wa wawekezaji sio watanzania, yupo kulinda maslahi ya wawekezaji sio watz, ukisikiliza speech zake unaweza pata kichefuchefu, kuanzia kutoa work permit kwa foreigners kadri watakavyo hadi kulazimisha mikataba ya extractive industry kusainiwa haraka as if anasubiria mlungula, kuna uharaka gani wa kusaini mkataba wa 30bn USD bila kijiridhisha kila kitu, madhara ya mkataba mkubwa namna hii yatakuwa zaidi ya 50yrs, akikosea atakumbukwa for her naivety for generations.
SSH ndie raisi wa JMT. Unatakiwa kuishi na ukweli huo.

Katika post zako zote unaonyesha dharau na chuki za wazi kwakwe. Unajiumiza bure kwa hali ambayo huwezi kuibadilisha.

Mama ameanza vizuri,anendelea vizuri na watanzania wanamatumaini na furaha baada ya miaka mitano ya utawala wa kibabe wa mwendazake and co.
 
Acha dharau.

Mh Samia ni raisi kamili. Anatosha kufanya maamuzi sahihi kwa kutumia wataalamu wanaomzunguka.

Tatizo la Magufuli alikuwa anajifanya mjuaji wa kila fani hivyo kuwazuia wataalamu kutimiza majukumu yao. Tunao wataalamu wa kutosha kwenye sekta ya gesi wakiongozwa na gwiji dk Mataragio ambaye ana uzoefu mkubwa.
SSH ameshatoa agizo TODC wamalize negotiations haraka, hizi ni akili kweli, hivi unafikiria saivi TPDC wakiwa wanaingia kwenye chumba cha majadiliano watakuwa wana uwezo kukataa chochote huku tayari wamesha agizwa wasaini mkataba haraka ?
 
Thanks for this info. Najisikia vibaya kwa mimi kuwa ni mmoja wa pressure groups tulioshinikiza mradi huu uchelewe ni kwasababu. Sasa maadam Mama kasema majadiliano yaendelee, sisi pressure group, nasi sasa inabidi tulainike tuu, hata kama ni kuibiwa gesi yetu mchana kweupe, na tuibiwe tuu as long as at least we get something, than hali ilivyo sasa, we are getting nothing!.

P
Huyu si anashaurika, mbona mnarudisha majeshi nyuma!?
 
Issue sio kuweka wazalendo kwenye majadiliano, isipokuwa nature ya majadiliano ya Oil and Gas yenyewe ni back and forth. Waganda wasingekuwa na msimamo wangepata mkataba mmbaya.

Museveni aliweka environmental conditions na project kadhaa ambazo lazima zifanyike kwanza kabla ya bomba la mafuta kujengwa, that is on top of other concession agreements.

Tullow walipoona awawezi hizo conditions mpya wakauza share zao mziki ukabaki wa CNOOC na Total wakidai awawezi fidia costs za Tullow. Ndio kilichochelewesha bomba kujengwa kwa zaidi ya miaka 5 mpaka wawekezaji wenyewe waka backup sio Museveni.

Mtu hajui majadiliano yamekwama wapi anatoka anatoa pressure tu malizeni, matokeo yake week chache baadae watu kwa kuogopa kupoteza mkate wao wanajikuta wanalazimika sasa kukutana na wawekezaji, it’s simple to see who will have the upper hand in that negotiation na mama mwenyewe sidhani ata anajua ni wapi haswa waliposhindana. Walau huko Uganda walisema tatizo lilipo kwenye media sisi kwetu siri.

Hiyo mikataba finance zake ni very complicated na hao watu wanauzoefu ukiendekeza njaa imekula kwako.
Mkuu unapotosha kwa makusudi..... hvi tuwe wakweli kama UG wangeanza kuchimba mafuta toka 2010 je faida yake ingelingana na leo?

$70 kwa pipa 2010 ama $50 kwa pipa 2021? Alafu unasema ame delay inasaidia kupata best deal?

U can't be serious
 
Mkataba wa 30bn USD hauwezi wekwa wazi, kama mikataba midogo tu kama ya EACOP, Bagamoyo port wanaogopa, je huu mkataba mkubwa zaidi ya yote katika historia ya nchi yetu nani atakuwa na guts za kuuweka wazi?
But sheria mlizotunga zimetoa hiyo provision....
 
Mkuu unapotosha kwa makusudi..... hvi tuwe wakweli kama UG wangeanza kuchimba mafuta toka 2010 je faida yake ingelingana na leo?

$70 kwa pipa 2010 ama $50 kwa pipa 2021? Alafu unasema ame delay inasaidia kupata best deal?

U can't be serious
Kama umepitia mada yote kuna post nimeeleza, sehemu ngumu za majadiliano ya mkataba ni technical na commercial elements.

Mkataba wa mafuta kwenye share of commercial aspect sio rigid, una flactuate based on commodity market price, kwa hivyo watu awaangalii bei ya mafuta leo ni kiasi gani wanachoangalia ni at certain market price wewe unapata nini na wao wanachukua nini through out the life of the agreement. Bei inaposhuka sana, mapato yao yakiathirika yanafidiwa mbele bei inapopanda.

Na hii mikataba kwenye profit sharing kwanza zinatoka finance costs (investment costs) kasheshe sasa mwekezaji ukute asilimia kubwa ya mtaji hela kakopa bank kwa riba kubwa, pili inatoka motisha ya mwekezaji percentage in profit shares zake, host nation ndio wamisho kuvuna. Kwa ivyo host nations utakuta anategemea sana kodi za mapato na kama umetoa concessions za ovyo, well utasibiri sana kuvuna.

Kingine miradi ya aina hiyo aina faida kwa yule unaengia nae mkataba tu. Kuna chain ndefu banks zao ndio zinazokopesha, ajira za technocrats kwao, biashara kwa makampuni ya meli zenye specialised ships kwa miradi ya aina hiyo, kodi serikali zao, suppliers wa vifaa vya kujengea miundombinu wanapata.

There is a long supply chain huko kwao kushinda kwetu, ambapo asilimia kubwa ya hiyo $30 billion investment inarudi.

Hizo ndio sababu pia asilimia kubwa ya most risky part ya miradi ya Oil and Gas ambayo ni exploration washiriki wakubwa ni either fully sponsored na serikali zao au partly sponsored; kwa sababu serikali zao zinaelewa faida zake kwao. Rarely utasikia big companies zinafanya exploration the likes of Shell, BP and Total wao huwa wanakuja kununua vitalu wengine wakishapata vyenye reserve.

So you have to be careful on what you’re getting yourself into, sio mambo ya kukurupuka kabisa.

Besides waganda walikuwa washamaliza commercial negotiations hizo sio sababu za kuchelewa kwa mradi, isipokuwa waliongeza conditions zingine za mazingira na uwekezaji wa jamii.
 
Tusiwapangie watu kazi zinazohitaji mkakati kwa kulazimisha wakurupuke.
Ni wapi walipangiwa? Je mama naye yumo kwenye timu ya majadiliano? Je majadiliano yamekwama au hayajakwama?
 
Mama ametoa pressure watu warudi mezani, huko ndio kuwapangia kwenyewe.
I don't think so. Msimchukulie poa Samia hata Kidogo. Hakuna kilaza anayeweza kupata contract renewal kutoka shirika la kimataifa kwa miaka 10. Wengine mna nature ya kuwa pessimistic tu for nothing. Kwanza mnajidanganya kudhani resources sina mipaka. Ndio maana mi binafsi siamini katika natural resources badala yake naamini katika knowledge build up tu ili kufikia maendeleo ya kweli.
 
Huu mradi na Bagamoyo ndio miradi ya uhakika kutiliwa mkazo itekelezwe lakini ule wa bomba la mafuta ya Uganda inaonekana Total na washirika wake hawana nia ya kujenga wanapiga dana dana sasa ni juu ya Uganda atajua cha kufanya
we jamaa hunacjokijua kwenye project za oil and gas, unajua umuhimu wa cotracts zilizosainiwa mwezi uliopita, yaani TTA na SHA? unajua mikataba ya nchi na nchi
 
I don't think so. Msimchukulie poa Samia hata Kidogo. Hakuna kilaza anayeweza kupata contract renewal kutoka shirika la kimataifa kwa miaka 10. Wengine mna nature ya kuwa pessimistic tu for nothing. Kwanza mnajidanganya kudhani resources sina mipaka. Ndio maana mi binafsi siamini katika natural resources badala yake naamini katika knowledge build up tu ili kufikia maendeleo ya kweli.
Contract renewal tena? mada inazungumzia upande wa serikali kujipanga kwenda kumaliza majadiliano ya mradi wa kuvuna gesi hakuna mkataba huo as yet.

Nakubaliana na wewe unaposema enhancing knowledge comes first, but then faida yake baada ya hapo ni kwenye kufanya informed decision.

On that note nchi imetengeneza wataalamu wa kufanya hizi negotiations tuwaache sio wanasiasa kuwashinikiza wafanye haraka wakati mambo yenyewe ni tactical.

Ni sawa na kumsikiliza speaker yeye anaamini kabisa kukutana na wakurugenzi wa China Merachants wenye interest na mradi wa Bagamoyo katika ziara yake ya kikazi ilikuwa accident, rather than a set up which looked like an accident wamshawishi kuunadi mradi wao bungeni and it worked.

Sasa watu wanapokaa kimya au kutishia kujitoa aina maana ndio mwisho hizo ni pressure tactics, anapokuja kiongozi na kushinikiza watu wake warudi mezani tena publicly that is just senseless to say the least. Inaonyesha juu wapo despatate na kuwapa bargaining powers investors.
 
Contract renewal tena? mada inazungumzia upande wa serikali kujipanga kwenda kumaliza majadiliano ya mradi wa kuvuna gesi hakuna mkataba huo as yet.

Nakubaliana na wewe unaposema enhancing knowledge comes first, but then faida yake baada ya hapo ni kwenye kufanya informed decision.

On that note nchi imetengeneza wataalamu wa kufanya hizi negotiations tuwaache sio wanasiasa kuwashinikiza wafanye haraka wakati mambo yenyewe ni tactical.

Ni sawa na kumsikiliza speaker yeye anaamini kabisa kukutana na wakurugenzi wa China Merachants wenye interest na mradi wa Bagamoyo katika ziara yake ya kikazi ilikuwa accident, rather than a set up which looked like an accident wamshawishi kuunadi mradi wao bungeni and it worked.

Sasa watu wanapokaa kimya au kutishia kujitoa aina maana ndio mwisho hizo ni pressure tactics, anapokuja kiongozi na kushinikiza watu wake warudi mezani tena publicly that is just senseless to say the least. Inaonyesha juu wapo despatate na kuwapa bargaining powers investors.
Nilichomaanisha ni kwamba Samia si Kilaza wa kiwango hicho mnachofikiria maana kama angekuwa hivyo asingeweza kudumu kwenye projects za WFP kwa miaka yote hiyo. Mi namuona Samia ni far better kuliko mtangulizi wake when it comes to presidency.
 
Hivi ni lini serikali itaanza kuweka mikataba hadharani maana jizi siri ndio maana wajinga wanatupiga
 
Nilichomaanisha ni kwamba Samia si Kilaza wa kiwango hicho mnachofikiria maana kama angekuwa hivyo asingeweza kudumu kwenye projects za WFP kwa miaka yote hiyo. Mi namuona Samia ni far better kuliko mtangulizi wake when it comes to presidency.
Walau Magufuli was not complacent on technical matters, asipopaelewa hashinikizi sana analaumu hao watu wanamkera lakini hatoi force.

Mfano Magufuli katika taasisi ambazo zilikuwa zinamkera ni NEMC lakini hakuna hata siku moja alilazimisha waache kufuata process zao if anything alitaka ziwe za haraka tu.

Magufuli akiongelea technical issues za miradi pamoja na kuongezea chumvi zake ukija kusikiliza maelezo ya mtaalamu unaona kabisa pamoja na hayati ku twist mambo kadhaa kwa kile anachoamini (either ana support project au against) kwenye maelezo ya wataalamu unaona he was detailed briefed on the basis of the empasse sema tu amechagua upande. As a politician kwenye kuelezea umma anakuwa biased based on what he believes to be the right course of action.

Sasa mtu anatoka tu na kuwapa watu pressure bila ya ata kusema jambo fulani specific malizeni wakati negotiations ni tactic that’s just complacency at best.
 
Walau Magufuli was not complacent on technical matters, asipopaelewa hashinikizi sana analaumu hao watu wanamkera lakini hatoi force.

Mfano Magufuli katika taasisi ambazo zilikuwa zinamkera ni NEMC lakini hakuna hata siku moja alilazimisha waache kufuata process zao if anything alitaka ziwe za haraka tu.

Magufuli akiongelea technical issues za miradi pamoja na kuongezea chumvi zake kupinga ukija kusikiliza maelezo ya mtaalamu unaona kabisa pamoja na hayati ku twist mambo kadhaa kwa kile anachoamini (either ana support project au against) ukija sikiliza maneno ya wataalamu unaona he was briefed on where the empasse lies.

Sasa mtu anatoka tu na kuwapa watu pressure malizeni wakati negotiations ni tactic that’s just complacency at best.
Ukisikia Ukipenda Chongo Huita Kengeza ndio huku sasa. All ze best sir/madam
 
kama angekuwa hivyo asingeweza kudumu kwenye projects za WFP kwa miaka yote hiyo
Kuunganisha dots ni muhimu. Mkuu unajua ni nani main contributors in terms of funds WFP? Tumeelezwa, makampuni haya yako cosponsored na baadhi ya serikali za nchi zao. Zipo njia nyingi za kufanya lobbying.
 
Back
Top Bottom