Lodge chini ya 10000 tujuzane wapendwa....

Lodge chini ya 10000 tujuzane wapendwa....

Ndio maana nikienda Lodge nachagua chumba kiko pemben ambaoo watu wanapita mara kwa mara kuogopa kuchunguliana
 
Uzuri wa hizi Lodge za bei rahisi ukimaliza hata ukitubu unawahia kusamehewa wenzangu na nyie wa 30000 loh mpaka msamehe tushawafungia malngo tumejaa
 
Jet lumo zimejaa ya kwanza DOT.COM kituo unashukia relini kigiragira unatembea tu umefika
 
Nimewahi kusafir mpaka Musoma nikakuta Lodge elfu 7 ni sawa na hizi za Dar mnaita hotel za elfu 30
 
Jet lumo zimejaa ya kwanza DOT.COM kituo unashukia relini kigiragira unatembea tu umefika
Barikiwa sana mpwa hapa na kanotebkkk naziorodhesha nije kuzifanyia kazi
 
Nenda mtogani ulizia JB LODGE vyumba kuanzia 15k, kilo vizur sana
 
Sasa hiyo hela ya kutafuta logde ya chini ya 10k c ukanunue vinywaji na chips halafu tafuta vichaka vilivyotulia nenda kapige show
 
Zanzibar lodge/guest ya 30K nafikiri Dar unaipata kwa 10K mpaka 15K.
Znz wamegeukq mashetan mkuu

Nimetoka huko.majuzi kama.wiki.moja hivi kuna hotel nilikuwa nalipa 40000pday nkakuta laki nkanza kutafuta Lodge nkaenda moja niliwahi lala ya 15000 nkakutana na bei ya 35000 ati peak season mbafu kabisa wale. .....nililipa nkaondoka naaaza sana yaan 35000 dar nalala na mzigo kabisa na tunakula msosi

Kuna mmoja alinitajia bei nkamwambia inasafisha dhambi???
 
M
Sasa hiyo hela ya kutafuta logde ya chini ya 10k c ukanunue vinywaji na chips halafu tafuta vichaka vilivyotulia nenda kapige show
pwaa vichakan haisimami kamweeeeeee

Ilikuwa kamchezo kangu kmr sikumoja shirikishi wakanifumania wakala 20000 sinaga hamu tena yaan hata inyinywajee no...
 
Pale.mapambano kunamlodge inaitwa mombasa ama kwa babu manywele

Usisombe uende usiku chabk zake hadidirisha linatoa sauti

Kuna boss mmoja kabisa wa mpira wa miguu yeye huja anawalipa anapelekwa vile vyumba vya nyuma

Kama huamini kaangalie vyumba vya nyuma madirisha nyavu zimechanwaa

Sikuhio nagonga mzigo demu akaguna naniyule kuangalia naona kijiti kinadondoka ndani wanakimbia sinahamu
 
Back
Top Bottom