Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hii ndio nature ya ulimwengu kwamba lofa au mpumbavu asimiliki kitu chenye thamani.
Hata kama uvunguni mwako kuna lulu nyingi za aina tofauti, dunia ikijua tu kuwa wewe ni lofa itatumia gharama yoyote ili tu kukunyang'anya ile lulu.
Ni wakati sasa tuache kuomba utajiri kwa Mungu badala yake tuombe kikombe cha ulofa kituondoke.
Ndio maana hayati Mkapq alipenda sana kulitumia neno MALOFA. Alijua udhaifu na maana ya neno hili .
Hata kama uvunguni mwako kuna lulu nyingi za aina tofauti, dunia ikijua tu kuwa wewe ni lofa itatumia gharama yoyote ili tu kukunyang'anya ile lulu.
Ni wakati sasa tuache kuomba utajiri kwa Mungu badala yake tuombe kikombe cha ulofa kituondoke.
Ndio maana hayati Mkapq alipenda sana kulitumia neno MALOFA. Alijua udhaifu na maana ya neno hili .