Loh! Nimetoka Segerea wadau

Karibu sana mkuu,huku mtaani kuna mtu anajiita jiwe,kuna mtu anatamani kuwa kiongozi wa malaika,dodoma imekuwa jiji na limeongoza mapato kuliko jiji la dar,siku hizi watu wanauza utu wao kwa vipande vya kodi.
Doooo amakweli niliyakosa pia nasikia watu wanao fuata nyayo za yuda wanaongezeka
 


Tuanzie hapa kwanza, ulifungwa kwa makosa gani?
 
Vipi hawajakutafuna nyuma?

Maana Segerea hawaachi
 
Vipi hawajakutafuna nyuma?

Maana Segerea hawaachi
Mkuu huko ni full options ukitaka mwenyewe lkn kama hutaki hulazimishwi by the way namaanisha rupango ya hapa JF
 
Unajua kuna wakati Mod anaamuka kakasirika kwanini iwe Jerry Muro tu na sio yeye? basi siku hiyo watu watapata vifungo hovyo hovyo kiwango cha Sugu
Inawezekana hiyo maana hata yeye ni mwanadamu pia
 
Karibu sana mmawia tumepambana sana kuwadhiti lumumbas na propaganda zao za kijinga.
Nashukuru sana ndugu yangu mliberali sasa nimerudi tuendelee kuwasha moto wa tipa hadi ukombozi utakapo patikana
 
Sumu ya teja, sumu ya teja, ukonga, keko,segerea!, ugali bure, ukuta bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…