Loh! Nimetoka Segerea wadau

Akitaja kosa lake anarudi tena jela now ni miezi 10 sio sita tena jf kutamu ha ha ha
 
Pole mkuu karibu uraiani tuendelee kuwaamsha hawa paka wa Lumumba.
 
Hongera mkuu kwa kutoka salama Segerea..hata mimi nimetoka juzi tu ingawa hatukuonana!..niliteseka mwezi mzima..maana ilikuwa ni mara yangu ya kwanza nilidhani nimeingiliwa na wasiojulikana!..kazi ipo
 
Mkuu pole sana

Ova
 
Hongera mkuu kwa kutoka salama Segerea..hata mimi nimetoka juzi tu ingawa hatukuonana!..niliteseka mwezi mzima..maana ilikuwa ni mara yangu ya kwanza nilidhani nimeingiliwa na wasiojulikana!..kazi ipo
Teeeeeeeh Teeeeeeeeeeh Teeeeeeeeeeh ndio kukomaa huko kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…