Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DohMkuu Mgibeon nilikuwa segerea ya Jf nilipigwa ban ya kufa mtu
Mkuu pole sanaHodi hodi wadau na washikaji wangu hasa wale wenye uzalendo wa hali ya juu kwa taifa letu,nipo huru baada ya kuwa segerea sasa nipo tayari kuliendeleza gurudumu
Cc: Salary Slip
Cc: mcubic
Cc: Inspector Mwala
Cc: wadau wote wa CHADEMA
Cc: wadau wote wa cuf original
Cc: wadau wote wa ACT wazalendo
Cc: wachumia tumbo wote wa lumumba
Teeeeeeeh Teeeeeeeeeeh Teeeeeeeeeeh ndio kukomaa huko kiongoziHongera mkuu kwa kutoka salama Segerea..hata mimi nimetoka juzi tu ingawa hatukuonana!..niliteseka mwezi mzima..maana ilikuwa ni mara yangu ya kwanza nilidhani nimeingiliwa na wasiojulikana!..kazi ipo
Sahvi yetu macho tu mkuuTusikate tamaa kabisa maana mungu ni wetu sote
Duh! Nilijua segerea nikawa nakupa pole kimoyomoyo nilihisi huenda umafanyiwa yale mambo.Mkuu Mgibeon nilikuwa segerea ya Jf nilipigwa ban ya kufa mtu
Ngoja uchafu ujichuje baharini kwanza mkuuKama siyo wewe unadhani tanzania itakombolewa nani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Toa sababu zilizokuweka segerea inawezekana ni mpanga magogo barabarani