venine
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 1,458
- 1,569
umaarufu kaupata kwa ku dis watu mitandaoni. Pia ni DJ.Kwani ni nani huyo? Ni msanii ama
Watu wazuri kwake ni Hamisa na Mange tu. Kawatukana Zari na Wema hadi kachoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umaarufu kaupata kwa ku dis watu mitandaoni. Pia ni DJ.Kwani ni nani huyo? Ni msanii ama
HahahahaKuna video anashuka kwenye mti anakata viuno yan daaa,nilitaman hata nichukue mguu wa kuku nikamchape shaba huko aliko...
😀😀😀😀😀😀😀.Yaaan[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...ila kambamiza kweli eti haaahaaa....eti njoo hapa huku anamburuza[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eka picha yake basiumaarufu kaupata kwa ku dis watu mitandaoni. Pia ni DJ.
Watu wazuri kwake ni Hamisa na Mange tu. Kawatukana Zari na Wema hadi kachoka.
Ndugu zangu atakayeweka picha anitag pia aniambie huyo juma lokole ni nani
Hivi huo u DJ anafanyaga saa ngapi?...maana muda wote yuko insta tuumaarufu kaupata kwa ku dis watu mitandaoni. Pia ni DJ.
Watu wazuri kwake ni Hamisa na Mange tu. Kawatukana Zari na Wema hadi kachoka.
Kungwi na mwari wote wanaliwa"kumbe muuza mchele na yeye ni mchele"
Nadhan bado anatafuta kama alivyojieleza kua atapiga kombora...duh!!Mkuu ulishaolewa?
Ndo maana billnass akaandika vile mchele sijui na mwali ?Njoo inbox
Sent from my iPhone using JamiiForums
MwajumaMwali wangu yamemmkuta mazito Jana [emoji28]. Hivi sijui sura yake ataiweka wapi maskini , hadi shoga zake akina mama dangote wamemkana amewatia aibu , Tatizo mwali na wewe umezidi mdomo mno , Kwan unadhani watu hawajui uchafu wa mastaa wengi hapa mjini ? Wenzio wanajiheshimu ndio maana na wao mambo yao yanastiliwa, Sasa ndugu yangu na Mimi kujifanya mdomo juu juu kama side mirror ya Suzuki umeenda kumchokonoa FBI wa umbea na yamekukuta, najua unajifanya you don't care Ila deep down umefedheheka sana , maana hata wale mastaa uliokua unakaa nao karibu watakukwepa kuogopa scandal .
Dah eti kabisa unasifia dyudyu, ndio wanazengo tunajua vizur habar zako, Ila siku zote unaambiwa bora tetesi kuliko mtu aje na ushahdi, yan duh umeaibika kwa kweli hata ujifanye you don't care.
Kwenye voice ya hamisa ulivyokua unashupalia Leo yamekukuta ama kweli Mungu sio athman, kama namuona hamisa anavyo sip champagne akikucheka, maana domo alikuonjeshq tu mwanamwali na wewe ukajikuta zari , teh the loh
Sent from my iPhone using JamiiForums
Duh! Visa na mikasa.Pale ni mtu mmoja anayejiandikia kwa mkono wa kulia na kujijibu kwa mkono wa kushoto
Shane diesel hahaha yule baba jamani sio kwa mtambo ule looohHuyu dogo inabidi akutane na wahuni kabisa ...akutane na yule mcheza pono anaitwa shane diesel..kesho tu mapema ataacha kuwa chokoraa