JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Sasa kumiliki misikiti ulaya nzima ndio nini?ulaya na Amerika hazikufika hapo kwa kusujudu na kuinama,tekinolojia ilifsnya kazi,Moja ya sababu kubwa watu kusilimu Ulaya kutokana ni Ukristo haujafanikiwa kuondoa maovu sugu Ktk jamii nyingi ulaya na Ulaya kushikiria rekodi chafu za mauaji, uvaaji usiofaa, unywaji, pombe, uzinzi na mmomonyoko wa maadili. Na uislamu umefanikiwa vyema kukomesha hayo na kubadisha watu kwa kiasi kikubwa kwa kuingia imani na hofu ya Mungu moyoni kuliko wengine na wngi wamejipa tumaini kuwa kuna mtu kafa kwa ajili ya dhambi zao kwa hiyo ni full bata tu.
Mfano miaka ya 60s Marekani kulikuwa na wimbi kubwa la ubaguzi wa rangi lkn cha kushangaza nguvu ya kanisa haikuwa kubwa Ktk kutokomeza hili swala ndio maana Elijah Muhammad alipokuja na Uislamu wakiharati alipata wafuasi wengi na kina Malcom X ilikuwa kwake rahisi kusilimu kutokana na kuona nchini mwake kuna uozo mwingi japo makanisa yametawala.
View attachment 2229556
Mi nirifikili nyie islam,au Arab mmeweza kuwa na ma injinia wengi kule NASA,Pentagon,Homeland security,General motors,kumbe mnaenda kuinama tu,kwani uarabuni hamuinami?