London: Makanisa zaidi ya 500 yamefungwa na baadhi kugeuzwa misikiti, zaidi ya misikiti 500 imejengwa, Uislam unakuwa kwa spidi ya radi Ulaya

...sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.
hii ni propaganda tu. Huko Arusha mwalimu wa madrasa amewalawiti zaidi ya watoto 20 kwa miaka mitatu, achilia mbali ambao hawajulikani
 
Idadi ya waislamu inaongeza Ulaya kwa sababu wahamiaji wengi toka Syria, Afghanistan, Libya na Afrika Magharibi wamehamia huko. Wazungu wenyeji awahami dini ya Kiislamu kwa spidi hiyo. Wazungu wengi hasa wa Ulaya hawaendi makanisani/ misikitini kwasababu sayansi imeshika hatamu. Sayansi ukiuliza swali lazima upate jibu. Dini zote ni imani- wakati mwingine inabidi ukubali tu bila kuuliza maswali ya kibinadamu.
 
Hawatafanikia, damu ya Yesu inatenda mema !!
 
Habari hii ni uwongo mwingine tena, umetumia video za YouTube kujenga hoja yako na wazembe wamekuunga mkono bila kujiridhisha na chanzo cha tarifa yenyewe, hebu soma articles hizi ujue ukweli
 
Habari hii ni uwongo mwingine tena, umetumia video za YouTube kujenga hoja yako na wazembe wamekuunga mkono bila kujiridhisha na chanzo cha tarifa yenyewe, hebu soma articles hizi ujue ukweli
 
kutwaa kupambana kufanya comparison mara sijui makanisa yamebomolew imejengwa misikiti, mara sijui nani amesilimu..wakati msikiti ukigeuzwa kanisa hio kwa wakristo sio habari....
Una mfano wa msikiti wowote uliogeuzwa kanisa kwa sababu ya waumini kuacha Uislam..?
 
Mimi naona uislamu ni dini ya mapambano yani wao kutwaa kupambana kufanya comparison mara sijui makanisa yamebomolew imejengwa misikiti, mara sijui nani amesilimu..wakati msikiti ukigeuzwa kanisa hio kwa wakristo sio habari....
Kwani hapo kuna ubaya gani? Wanapenda dini yao sio wanafiki kabisa
 
Wanaokoka ni wakristo wenzenu kwa asilimia kubwa na waisilamu kidogo sana wenye tamaa ya maisha ya Dunia. Uisilamu haumuhubiri mtu sijui kuwa na maisha mazuri,nyumba au gari.Uisilamu unahubiri pepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba utapewa mabikira 70
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nitaongelea dini yangu ya uisilamu.

1. Mtume alikuwa jangwani haku kuwa na mashamba huko. Na una Ushahidi wa Sheikh kuhubiria watumwa Mashambani?

2.uisilamu ulikuja Afrika immediately, baada ya wafuasi wa mtume Kuteswa, wakaja Ethiopia/Aksum kwa mfalme Najash,wakaomba msaada Na kupewa Hifadhi, mpaka Leo Kuna Ushahidi wa msikiti Unaoelekea Jerusalem ina maana Uisilamu Afrika ulienea Hata kabla ya Nchi Nyengine za Arabuni.

3.Na Uisilamu hauhubiri umasikini. Kipindi uisilamu Unaongoza Dunia Africa ilikua hivi
-mtu Tajiri zaidi Duniani Mansa Musa alipatikana, Alikuwa ni Kiongozi Muisilamu na Empire yake pengine ni kubwa kupata Kutoke Africa.
-Nchi nyingi za Ki Africa zilikuwa Vizuri kielimu refer Timbuktu, walikuwa Advanced kwenye Architect, mathematics na Field myengine

Kiufupi Afrika ilikua Juu at that time, Empire kama Aksum ilitawala mpaka Nchi za Nje ya Africa, Trade routes zikaenda mpaka Yemen hadi Iran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…