Baruch Spinoza aliweza kuelezea kila nilichokihisi kwa ufasaha kabisa. Kwamba ‘nature’ na kile kinachoitwa ‘mungu’ ni one and the same. ‘Mungu’ au ‘Nature’ huendesha kila kitu, tangua mwanzo kabisa (Big bang) kwa kutumia ‘manifestations’ zake, nazo si zingine bali ni ‘force of gravity’, ‘nuclear (sub-atomic) forces’ , ‘Electromagnetic forces’. Hii unaweza kuita ndio mikono ya ‘Mungu/ nature’. Kupitia mikono yake hii, anaumba na kuendesha kila kitu, kuanzia protoni , neutroni na elektroni ndogo kabisa ndani ya atomu hadi Kwa vitu vikubwa kama sayari, nyota na ‘galaxies’.
‘Mungu’ au ‘Nature’ hana ufahamu, bali nature ni kama mkondo, hufuata njia yake ‘nature always takes its course’. Kama maji yakayeyushwa na kuwa mawingu, kisha wingu hilo likafikia uzito unaostahili, basi ‘force of gravity’ itayashusha kurudi ardhini, na pasingekuwa na namna nyingine yeyote zaidi ya mvua hiyo kunyesha. Wapo watakaosema ‘Mungu’ kaleta mvua, wako sahihi, maana ‘Nature ndiye ‘Mungu’ mwenyewe, na ‘it was a necessary course of nature’ it could not have happened any other way, na haikuwa a concious decision of some supernatural being anywhere, the forces of nature were there, and hence it was always going to happen. Thus my next point.
Nature punishes and rewards naturally, go against nature (God) and you shall be punished naturally, follow the natural course (God’s way) and you shall be rewarded naturally ( not intelligently nor conciously. Nakupa mfano hapo chini..
Ukifanya mapenzi kinyume na maumbile (against nature/ God) basi utapata madhara ya kufumuka marinda na kupata haja kubwa mfululizo, kuoza , infection nk. , hivyo hiyo ni a ‘natural’ punishment for behaving against ‘nature / God’ ; halikadhalika, ukifanya mapemzi kwa utaratibu wa asili (natural way / God’s way) utakuwa rewarded naturally, utapata ujauzito, utazaa kwa uchumgu ili uheshimu kile kiumbe na ukitunze, maana maumivu yake ni makali sana, that is nature’s way of making you take extreme care of the baby, considering the pain, lakini pia unakuwa rewarded na furaha ya ajabu naada ya yale maumivu baada ya kumuona yule mtoto, that is nature’s reward.
Mifano ipo lukuki. Hence forth, no amount of prayer or fasting is ever going to change (miraculously) what was always going to happen, nature will always take its course. What i mean is , huwezi kumwagia mwanamke shahawa zako kwenye njia ya haja ukubwa (going against nature /God) halafu kesho yake wote muende kwa Mwamposa mkafanye maombi na kifinga ili mshuke mimba, nature will always take its course, what will happen was always going to hapoen as the ‘forces of nature / God’ were always going to dictate. Its like a ‘Domino effect’, already predesign set of mechanisms put together, and from the get go, they were always going to behave as pre-designed. So to pray ‘for a miracle, is absurd, because it is tatamount to asking God /nature to go against himself, its nonsensical, hence RELIGION IS UTTER NONSENSE/ UTTER MADNESS!!!!!! BUT PLACEBO IS REAL, na kwa kiwango kikubwa dini zinafaida ya ku-act kama Placebo kwa wale wenye matatizo, na ukiamini kitu, unakuwa na uwezekano mkubwa wa kufanikisha, ‘naturally’ na sio ‘miraculously’.
Now, on the question of why we exist, it is what we call ‘ A self defeating question’, because our existance ‘is a necessity of nature’s / God’s existance’; we are part and parcel of God / nature, we are part of God, hence we are infact Gods in bit by bit perspective. Asking why we exist is tatamount to asking ‘Why Does God exist?’ Can you ask such a question. Or, can you ask your self who created ‘God / nature’? Then who created the creator of Nature /God’, the we find our selves helplessly in the realm of infinity, and have no doubt, a finite mind can’t even begin to ponder about infinity, it is surely ‘FUTILE’.
The wise know this, and have decided to come up with ‘DINI’ to Scammingly quench the thirst for the knowledge of incomprehensible infinity by finites. All just for dominance, control, power, wealth ,pleasure, success and what not, poor idiots, unknowingly, brainwashed, fall into the trap of the wise. But i blame you NOT, because it was always God’s / Nature unconcious plan that you become a follower of a SCAM.