Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
-
- #761
Hivi na kibamba ipo dar kweli?πKama mpenzi wako yuko Dar, andika maumivu.
Cc mtoa mada π€£π€£π€£
More blessings kwenu, msije kutuambia mmeachana, tunawasindikiza na VibokoKwamba cas Ana familia siwez kumuacha I love him
Hivi na kibamba ipo dar kweli?πKama mpenzi wako yuko Dar, andika maumivu.
Cc mtoa mada π€£π€£π€£
Babuuu umezingua sana
π€£π€£π€£π€£Aiii umenitoa jino, nakusema kwa Gifted girl
Huyu babu yetu leo nina hasira nae sanaπBabuuu umezingua sana
bora weee msema kweliWeeeeeh!! π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Kwakweli amani ya Bwana na iwe nawe, lasivyo hutoboi.Nipo nachat na bby wangu hapa ananiambia niwe na amaniπ
Safi kabisa. Mahusiano yenu hayana njaa.Mwaka wa kumi huu, ila tunaonana kila baada ya miez miwili au mitatu
Muambie huyo kijana nang'oa incisors(meno ya mbele yoote) akasemee vizuri kwa giftedπ€£π€£π€£π€£
Sasa utamsemeaje na jino limeng'oka?
Hofyoooo
Amina na tutafika tuu.π€£π€£π€£π€£ Kwakweli amani ya Bwana na iwe nawe, lasivyo hutoboi.
Huyu babu yetu leo nina hasira nae sanaπ
Comments zake huko juu zilikua za kunikandamiza yani.Kazingua nn tena wakuu
Na humo ndio huwa tunapitia sisi wanaume wa mikoani, kusema kweli tunakula sana madem wa dar na mihasira yao ya kuachwaKama mpenzi wako yuko Dar, andika maumivu.
Cc mtoa mada π€£π€£π€£
Nimezingua wapi Mjukuu jamani π€Babuuu umezingua sana