Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
-
- #61
Mkuu na ni pisi kali tako lipo yani ni full wasiwasi ila ngoja nione.Hapana bro, pisi kali kukaa peke yake karibu mwaka mzima ujue probability ya kutokusaliti ni ndogo, kibaya zaidi ae anakutegemea financially kwa kiasi flani.
Wao wenyewe huwa wanajua huyo mwanaume huko aliko ana mtu cause they know wanaume wanapenda kuzagamua.
Mi siamini sana kwenye hizi mambo.
Yanaharibu sana unakuwa addiction na nyetoAjipige selfie, aoge maji baridi, akande punani yake kwa maji ya uvuguvugu kwenye mwaka na nusu mwili utazoea hizo genye zitapungua kasi,
Huu ndo muda unatakiwa ukaze mawasiliano sana hata akiingia toilet mpigie, video call, ukaribu wa kinawasiliano utamsaidia kuona unamjali na akili yake iwe kwako tu, ukilegea tu wahuni watamgonga kwa kutumia genye zako, kifuatacho ni majuto
Kama hamna ulazima sishauri mapenzi ya mbali mtaishia kulaumiana tu
Mi naona dar ndo sehemu rahisi kwa mwanamke kutulia maana maisha ya mjini tu ni hekaheka tosha, pia wanawake ni wengi na wazuri kiasi wanaume wana machaguo mengi, tofauti na huko miji midogo wanawake wachache hivyo inafanya wawe wa kugombania kama na mchuchu nae anavutia mji mzima utamtaka yeye tuTatizo lingine yupo daslamu hapo ndio nachoka kabisa, ila tutafika tuu. Shukrani.
Wewe sema bwana acha maswali🤣🤣🤣Yapi sasa, yaliyorasmishwa ama yasiyokuwa rasmi?
Hata wasio wanandoa wanadumu, na pia zipo ndoa nyingi tu zimevunjika chanzo ikiwa ni umbali,Wanaoweza kudumu ni wanandoa tu nje ya hapo ni bahati nasibu tu.
asantePole sana aisee
Wanandoa miaka miwili mitatu wanaweza kuvumilia ila wasio wanandoa hata miezi sita ni mingi sana.Hata wasio wanandoa wanadumu, na pia zipo ndoa nyingi tu zimevunjika chanzo ikiwa ni umbali,
Kuliko kumpa jitu likale bora selfie,Yanaharibu sana unakuwa addiction na nyeto
Mkuu kwenye harusi yetu kadi yako ipo kabisa, ila babu Grahams sitaki kumuona.Mi naona dar ndo sehemu rahisi kwa mwanamke kutulia maana maisha ya mjini tu ni hekaheka tosha, pia wanawake ni wengi na wazuri kiasi wanaume wana machaguo mengi, tofauti na huko miji midogo wanawake wachache hivyo inafanya wawe wa kugombania kama na mchuchu nae anavutia mji mzima utamtaka yeye tu
Kupendana sio shida kabisaTunapendana mkuu
Hata wanandoa wenyewe ni kazi.Wanaoweza kudumu ni wanandoa tu nje ya hapo ni bahati nasibu tu.
yaani,,, wanaume hawa sijawahi kuwaamini tenaDah pole inauma sana, ila likuepukalo lina heri angekuoa huenda msingedumu au angekupiga matukio makubwa zaidi ya hapo
So nijiandae kisaikolojia mkuu?Kupendana sio shida kabisa
Kuna watu wanaheshimu ahadi za mioyo yao, mnaita commitment eh!Wanandoa miaka miwili mitatu wanaweza kuvumilia ila wasio wanandoa hata miezi sita ni mingi sana.
Unajua kuna umri hutakiwi kujibana kuhusu mizagamuo mwili unakuwa unahitajiKuliko kumpa jitu likale bora selfie,
Maumivu ya kusalitiwa huwa hayapoi kirahisi hasa Kwa mtu uliyempendaasante
Dah pole kakuachia maumivu mabaya hayo na ukimuona mtoto ndo unakumbuka ushenzi wake,yaani,,, wanaume hawa sijawahi kuwaamini tena
Kwa kizazi hiki chenye exposure mmh siyo rahisi Ila wanandoa Kuna nafuu mtu anajua Kuna Cha kupoteza ila wachumba tu aah lazima aliwe tu au ale .Kuna watu wanaheshimu ahadi za mioyo yao, mnaita commitment eh!