Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
It’s not possible until it’s possible
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka 2016 mpaka sasa bado hamjakutana mkuu?Tangu 2016 mpaka sasa nipo nae
Yeah tunachati tu kama marafikiToka 2016 mpaka sasa bado hamjakutana mkuu?
Hataki kuingia machinjioni?😁We kuja geto hutaki
Bora niwe nao mimi ila yeye asiwe nao aisee
Mkuu mda wote huo una uhakika hana mtu anayemzagamua kweli?Eeh tunachati tu kama marafiki
Shida inaanzia hapo sasa.Kwanini yeye asiwe nao?
Atajua mwenyewe, mimi shida yangu siku nikionana nae napiga na kusepaMkuu mda wote huo una uhakika hana mtu anayemzagamua kweli?
Tufunge tusali mkuu!Jamii forum sio sehemu ya kuomba ushauri aisee😁
Tapeliiii🤣Ni vingi D...
Kikubwa hasa siwezi kukaa naye mbali...Kuna vitu huwa najaribu kufikiria asingekuwa karibu ningeviweza vipi naona ingekuwa ngumu....
Nampenda mno...Uuuuuwiiii😀
Itakua huna malengo nae mkuu, unaye mtu mwingine wa malengo.Atajua mwenyewe, mimi shida yangu siku nikionana nae napiga na kusepa
Shida inaanzia hapo sasa.
Umejuaje? Ndio yeye huyo. Wanaa wanaishi nae kiroho safi kabisa🤣Jamii forum ilivyokua ya ajabu unaweza kuta huyu ndio manzi wangu anacomment hivi😁😁
Kwa comment hizi hata tukifunga na kusali haitasaidia aisee.🤣🤣🤣🤣🤣
Tufunge tusali mkuu!
Sema ukweli mkuu ulikaa miaka minne bila sex?4 good years na tukaachana😂😂
Ndiyo mzeeItakua huna malengo nae mkuu, unaye mtu mwingine wa malengo.
Sio sana, ni zaidi.Yeye anakupenda sana?
😁😁😁 kama ni yeye aisee nimeisha.Umejuaje? Ndio yeye huyo. Wanaa wanaishi nae kiroho safi kabisa🤣