"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Mkuu acha tuu, ukiwa financially stable haina shida sasa hapa bado najitafuta, ninavyoandika hapa yupo arusha kwao katoka dar last week lengo lake anifate mwanza kunisalimia nikiangalia bado mambo hayajakaa sawa akija atachoma mtaji yani nawaza acha kabis. Nimem'miss sana na ninatamani aje ila ndio hivyo, ashaanza kulalamika hapa anadai nishapata mtu mwingine.
Dar to Mwanza!! Watu weweeeee🤣🤣🤣
 
Hadi ukayaandika humu, hii inaweza kuwa na ukweli 100%🤣🤣🤣

Imekuwaje huyu mwamba ukampa moyo wote namna hii, huogopi? Nijulishwe tu mambo yakigaribika, huwa nina taaluma ya kutuliza mioyo iliyovunjika🤣🤣🤣
Unataka yagaribike? Shindwaaaaa...
Ndiyoooo...hii ni ukweli ukweliii...Kekue nimekamatika Wallah😀

Ni vile tu anavyonijua nilivyo..Hii inaweza kuwa sababu ya yeye kuchukua ushindi wa mezani kirahisi sana😅...
Imagine hadi wakati mwingine tukiwa tunaongea anamsemo wake ataniambia" si ninakujua"
 
Mkuu hata kama kuna kiapo cha ndoa distance marriage ni hatari sana. Binafsi niliwahi kuhamishwa kikazi kwenda mkoa X umbali wa 1200km kutoka mkoa Z familia yangu ilipo. Nafika kituo cha kazi nakabidhiwa mama wa makamo wa umri wangu ndio nifanye naye kazi mpaka over time saa nne usiku. Mkuu nilikuwa nasafiri kila bada ya wiki mbili kuja kuona familia nakaa siku nne narudi kazini ili kukwepa hatari kulingana na yule mama alivyo na mazingira ya kazi yalivyo lakini haikuwa rahisi kwa nguvu za kibinadamu..... .....
Pole Mkuu, ila hadi hapo ulipoandika inaonesha ulimshinda shetani na kazi zake zote 🤗
 
Mkuu,
Huyu ni mke wangu, ana tabia ya kunisema vibaya ili nisipendwe na wengine🤣🤣🤣 ila kiuhalisia nimechanganya sura ya baba na mama, nimechukua urefu wa wajaluo na wapare...🤣
Hawa viumbe mission zao ni kutuangamiza tuu😁
 
Unataka yagaribike? Shindwaaaaa...
Ndiyoooo...hii ni ukweli ukweliii...Kekue nimekamatika Wallah😀

Ni vile tu anavyonijua nilivyo..Hii inaweza kuwa sababu ya yeye kuchukua ushindi wa mezani kirahisi sana😅...
Imagine hadi wakati mwingine tukiwa tunaongea anamsemo wake ataniambia" si ninakujua"
Kula mema ya dunia Maki, mapenzi yana dunia yake special na huwa haielezeki kirahisi, sema ukitupwa toka huko kuja huku tulipo, tutaftane🤣🤣🤣
 
Nini kilitokea mkuu😁
Fikiria unafanya kazi na jinsia tofauti. Mnaandaa taarifa za siku nzima mpaka ziishe ndio mnaondoka vinginevyo hakuna kutoka. Nilichofanya nikamwambia yeye awe anatoka saa kumi na moja jioni mimi nibaki nimalize kazi lengo lilikuwa niepuke hatari kumbe naye alikuwa na yake kichwani.
 
Unataka yagaribike? Shindwaaaaa...
Ndiyoooo...hii ni ukweli ukweliii...Kekue nimekamatika Wallah😀

Ni vile tu anavyonijua nilivyo..Hii inaweza kuwa sababu ya yeye kuchukua ushindi wa mezani kirahisi sana😅...
Imagine hadi wakati mwingine tukiwa tunaongea anamsemo wake ataniambia" si ninakujua"
Kwiiiisha habari yako kabisa 🤣🤣🤣🤣
 
Kula mema ya dunia Maki, mapenzi yana dunia yake special na huwa haielezeki kirahisi, sema ukitupwa toka huko kuja huku tulipo, tutaftane🤣🤣🤣
Kabisa Shem Bae....
Kupenda na kupendwa ni raha sana...

Huo mstari wa mwisho yaani kwamba nini?....Ushindweeee😀
 
Back
Top Bottom