Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Tunaonana ila kwa mwaka mara moja.. anakaa week then anasepa.Bila kuonana wala sex?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaonana ila kwa mwaka mara moja.. anakaa week then anasepa.Bila kuonana wala sex?
Sema nyie hua hamuumii kama sisi kwenye issue ya kuchepuka kwanza kwetu sisi ni dharau yani hata kusema kwa watu huweziNa sie tunatelezaga tuvumiliane ndo maana hata kwenye mada yako hii malalamiko yako potepote
Safi sana.Tunaonana ila kwa mwaka mara moja.. anakaa week then anasepa.
Usimpake mwenzako mafuta kwa mgongo wa chupa🤣🤣🤣🤣, dada yupo jiji la ngono akae mwaka bila kuwekwa sio kweli!🤣🤣🤣Umepata presha wew kuwa na amani watu huvumilia sana ila tumepigwa na vitu vizito 😀😀km mnapendana mtafika tu
Agiza soda😂Wanaoweza kudumu ni wanandoa tu nje ya hapo ni bahati nasibu tu.
Huna mvutonje ya mada ,
hivi nyie wenzangu mnawapataje mishangazi ,mbona mimi naambiwa sina adabu
😂😂🤣🤣🤣🤣
Babe i love you!
🤣🤣🤣🤣
Huwezi toboa kwenye uhalisia mdogo wangu, muda ni jambo muhimu sana, mpe muda shemeji... we mpe muda tu, muda una majibu mengi ya maswali tunayojiuliza kila siku.Acha uchawi mkuu
Haina makombo🤣Miaka ya zamani ni kawaida Kwa mdada kuolewa body count 0 Mileage 0 akafa body count 1 mileage 2000000KM watoto 11 saivi sasa body count 54 mileage 546,876,230,000,000 abortion 14 watoto 2 status single na kuachika mara 9
Huwezi toboa kwenye uhalisia mdogo wangu, muda ni jambo muhimu sana, mpe muda shemeji... we mpe muda tu, muda una majibu mengi ya maswali tunayojiuliza kila siku.Acha uchawi mkuu
Sisi wa mikoani tunakata hata miaka mitano🤣🤣Na wewe wa mkoani unakata mwaka bila bila, nakujengea sanamu lako.
Mapenzi ya kweli bado yapo mkuuHuwezi toboa kwenye uhalisia mdogo wangu, muda ni jambo muhimu sana, mpe muda shemeji... we mpe muda tu, muda una majibu mengi ya maswali tunayojiuliza kila siku.
Aaaaah wewe mvumilivu kabisa, miaka miwili!!!!Mahusiano ya mbali ni kitu kimenishinda niwe mkweli. Miaka 2 ndio angalau nilijitahidi lkn baada ya hapo hapana siwezi kabisa.
Wewe huyo?Sisi wa mikoani tunakata hata miaka mitano🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe huyo?