Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Na hizo ndo athari za dose zao 🤣🤣🤣Kumbe wazee wetu wana dose
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hizo ndo athari za dose zao 🤣🤣🤣Kumbe wazee wetu wana dose
Uzee wetu haujafikia huko, huoni tunazichapa papa kuliko vijana wa 25yrs🤣🤣🤣🤣
Mixed feelingMbona umenicheka Tayana
Tayana mwambie huyu dogo ukweli 🤣Mixed feeling
Nimecheka na kufurahi ulivyovumilia genye😄
Nitag kwa huo uzi kabla sijaenda kupata dozi ya kulalia..Na hizo ndo athari za dose zao 🤣🤣🤣
KabisaAchana nae huyo alikutana na makarunguyeye kama yeye
Mnooo,tuendelee hivi hiviNa watakatifu tuwe bado na utakatifu, huu huu 🤣🤣🤣ikiwa kinyume chake sasa, watoto wa mama mkwe hawaaminiki ujue
Nimeshakutag mbonaNitag kwa huo uzi kabla sijaenda kupata dozi ya kulalia..
Sijaiona bado...Nimeshakutag mbona
Kuna watu wana mahusiano hapa hapa mjini na bado wanaishi kama wapo kwa long distance relationship, haya mapenzi ya siku hizi hayana adabu kabisaHabari wakuu,
Mpaka sasa nipo mbali na shemeji yenu ni mwaka sasa hatujaonana sababu ya issue za utafutaji japo mawasiliano yapo strong kiasi chake.
Ila mahusiano ya mbali ni Mungu tuu awe kati kutoboa ni kazi.
Kabisa mkuu siku hizi kupata mtu sahihi nikama kubet tuu.Kuna watu wana mahusiano hapa hapa mjini na bado wanaishi kama wapo kwa long distance relationship, haya mapenzi ya siku hizi hayana adabu kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣 Wakati mie ndio nakufariji hapa kuyafanya yadumu!!
Mahusiano yangu yakivunjika wewe utakua umehusika😁
Kama kufariji ndio hivi acha tuu mkuu😁🤣🤣🤣🤣🤣 Wakati mie ndio nakufariji hapa kuyafanya yadumu!!
That's wat we call as love 😍Kwamba cas Ana familia siwez kumuacha I love him
SIwezagi bhana eh yeye tu awe karibu nisawa vizuri au nikaishi naye mwezi mmoja nimpende huyu nikalale na yuleKama ana malengo unakuwa nae hvy hvy huku unatafuta kijana wako wa kukupelekea moto tuu cha msingi awe salama tuu.
Kama ukiweza ntumie yote mme wangu 😅😅Bahati nzuri nimejipata leo mke wangu, nimepata 6M, chagua niktumie shingapi mke wangu
umejuaje?Huna mvuto
Nimemfurahia na kumpongeza kwa sababu hizi kubwaWeeeeh! Na alikolea kwa mshangazi🤣🤣