Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣🤣Kababu kakijua unaenda kwake kanapaka mkongo kanatulia mtoto ujae kwanini usikagande kazee ketu😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Kababu kakijua unaenda kwake kanapaka mkongo kanatulia mtoto ujae kwanini usikagande kazee ketu😁😁😁
Acha kunitisha mkuu.Ukiponea mirembe ndio utakuwa mkomavu.
Fimbo ya mbali haiui nyoka
Hawa watu nahisi unawatuma wewe😁😁Mtoa mada mateso yanaendelea 🤣🤣🤣
Yaani mjinga ndio atateseka Kwa Ajili ya mwanamke na hiyo ni Kwa sababu mtu hujielewi.Mtoa mada mateso yanaendelea 🤣🤣🤣
Ngoja kwanza, kuna kamzigo napeleka mtaa wa Narung'ombe nipate walau ya mihogo leo. Ila wewe na Makiwendo ni pesa tu, vingine mnatoa kwa ratiba 🤣🤣🤣🏃🏃🏃Sasa imagine ERoni ni kulishwa makande tu na pesa hakuna, uwii ikitoka ni ya kilio cha huzuni. Unamuangaliaaa unabaki kujisemea "kweli uchawi upo"!!!
🤣🤣🤣🤣🤣Hawa watu nahisi unawatuma wewe😁😁
Kwanza issue za mahusiano yangu zishaisha toka jana sasa hivi tuchat mambo mengine😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi tunaokueleza ukweli si haututaki!!
Hapa kidogo nimekuelewa.Yaani mjinga ndio atateseka Kwa Ajili ya mwanamke na hiyo ni Kwa sababu mtu hujielewi.
Fanya Mawasiliano lakini less expectation na atafute mtu mwingine huku Mawasiliano yakiendelea vinginevyo itkula Kwa mtu.
😂😂😂😂
Haziwezi kuisha, tuko na wewe hadi Dar ikunyooshe🤣🤣🤣Kwanza issue za mahusiano yangu zishaisha toka jana sasa hivi tuchat mambo mengine😁😁
huyo Dejane bora amefunguka ukweli wa mambo
Mahusiano ya mbali ambayo nimeamua kua nayo kwa sasa ni kati yangu na Mungu tuu yani yeye mbinguni mimi duniani, haya mengine hapana😁😁Haziwezi kuisha, tuko na wewe hadi Dar ikunyooshe🤣🤣🤣
Nasubiri uzi mwingine.
Kwel maji yanafata mkondo, hapa naamini. 😭Pesa inatupenda sisi zaidi....kuliko tunavyoipenda😃
Eeeh mahusiano ya mbali kati yako na Mungu ni sawa, hawa wengine achana na hiyo biashara.Mahusiano ya mbali ambayo nimeamua kua nayo kwa sasa ni kati yangu na Mungu tuu yani yeye mbinguni mimi duniani, haya mengine hapana😁😁
Sasa unaanza kukua🤣🤣🤣Mahusiano ya mbali ambayo nimeamua kua nayo kwa sasa ni kati yangu na Mungu tuu yani yeye mbinguni mimi duniani, haya mengine hapana😁😁