"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

"Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

Sasa imagine ERoni ni kulishwa makande tu na pesa hakuna, uwii ikitoka ni ya kilio cha huzuni. Unamuangaliaaa unabaki kujisemea "kweli uchawi upo"!!!
Ngoja kwanza, kuna kamzigo napeleka mtaa wa Narung'ombe nipate walau ya mihogo leo. Ila wewe na Makiwendo ni pesa tu, vingine mnatoa kwa ratiba 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom