Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,583
Wewe huna brainpower ya kuamsha hasira, tatizo ubongo wako wa guluguja hata nikipiga chafya kwa reflex action unaona hasira tu.teh teh teh teh tihiii
huu mchezo hauhitaji hasira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huna brainpower ya kuamsha hasira, tatizo ubongo wako wa guluguja hata nikipiga chafya kwa reflex action unaona hasira tu.teh teh teh teh tihiii
huu mchezo hauhitaji hasira.
Wewe huna brainpower ya kuamsha hasira, tatizo ubongo wako wa guluguja hata nikipiga chafya kwa reflex action unaona hasira tu.
Wewe unafanya discussion na mimi? Katika akili zako zilizo deluded unaona unafanya discussion na mimi hapa?hiyo ndo your typical traits. soma hii post Look busy, Magufuli is coming? Surely Tanzanian professionals are beyond this ndo utajua jinsi ulivyo na delicate brain sijui kama ya nini. sijawahi fanya discussion na mtu anayegusika hisia zake haraka na kwa vitu kidogo kama wewe. ahaaa haaa haaa
Wewe unafanya discussion na mimi? Katika akili zako zilizo deluded unaona unafanya discussion na mimi hapa?
Wewe huna uwezo wa kujua lugha chafu wala safi, nani punguani na nani si punguani.AHAAA ahaaa haaa haaa
Mimi najua najadili na wewe.
na huwa sina hulka ya kushindwa kudhibiti hisia zangu. situmii lugha chafu hata kwa mtu ambaye ni punguani. namvumilia tu.
Wewe huna uwezo wa kujua lugha chafu wala safi, nani punguani na nani si punguani.
Wacha kujishebedua hapa.
Bora hiyolugha ya mpiga debe,wewe hujui lugha yoyote, Kiswahili, Kiingereza, ya wapiga debe.ukisoma post hii Look busy, Magufuli is coming? Surely Tanzanian professionals are beyond this
utajua tu aina ya mtu unayeongea naye.
lugha za wapiga debe wa daladala kituo cha Manzese.
Bora hiyolugha ya mpiga debe,wewe hujui lugha yoyote, Kiswahili, Kiingereza, ya wapiga debe.
Ngumbaru nyambaf.
Wewe unam support mtu anaye ji contradict kama Magufuli hata pakuanzia nawe sipaoni.wewe nimekujua ulipo. huna lolote ujualo. huna hoja unayojenga zaidi ya kujificha nyuma ya professional jargons na gibberish phrases. sasa hapo unawapata wengi waingie kwenye mtego wa, badala ya kufikiria maana ya ulichoandika wanafikia namna ulivyoandika. that is poor communication.
kama unabisha pitia post zako uone wengi walivuta uangalifu wao kwenye nini!!
Wewe unam support mtu anaye ji contradict kama Magufuli hata pakuanzia nawe sipaoni.
Mtu anayeita mawaziri wake aliowateua mwenyewe wapumbavu, lazima awe mpumbavu zaidi yao kuwateua kuwa mawaziri wakaenda kushika nafasi nyeti. Rais akimuita Waziri mpumbavu, kashajiita yeye rais mpumbavu mkubwa zaidi ambaye hana hata vetting process.
Na wewe unayem support ni lazima uwe mpumbavu zaidi yake.
Nani alitaka jeshi liongoze nchi awamu iliyopita na unaninasibisha vipi mimi kizembe na hao?kwa hilo la kuwaita mawaziri wapumbavu binafsi sijawahi kulisikia. licha ya kuwa kuna mambo mengi ambayo JPM nampinga, lkn uhodari wake unazidi mapungufu yake. Mimi binafsi nafurahia sana anavyopambana na syndicate za ufisadi. at least akiondoka labda network za mafisadi zitaanza upya.
please muunge mkono JPM maana awamu iliyopita mlitaka jeshi liongoze nchi, lkn Mungu aliepusha mbali. sasa tumempata huyu ambaye anapambana na ufisadi, hakuna kikundi cha watu cha watu kinacho nufaika kwa hasara ya wengine. wewe huoni ya kuwa ni mtu sahihi tunayemtaka?
nchi ilifikia pabaya sana. kuna matajiri walifikia hata hatua za ku influence utungaji wa sheria ili ziwapendelee wao. lkn huyu amejitahidi kuiokoa nchi.
sijui pengine ulikuwa kambi ya grey hair, ukweli ni kuwa hakuna kati ya wagombea wote ambao wangefanya kazi kama anayofanya JPM.
bravo my President.
Nani alitaka jeshi liongoze nchi awamu iliyopita na unaninasibisha vipi mimi kizembe na hao?
Kijana una hasira sana. Kunywa maji mengi kwanza. Naona upo nje ya mada mwemzako anaongelea mada iliyopo mezani wewe unamjadili mtu. Huu tunauita ufinyu wa kufikiri. Only people with mental disorder wanaweza kuwa na akili kama zako. Mwenzako anatema nondo za kufa mtu wewe unatema mashudu.What makes you ask a person who writes "craps" you illiterate idiot ?
Hahaaa! Mimi nilipoona hiyo "expansion joints", nimepata picha ya kinachozungumzwa!Umetupatia kweli!
Kimalkia si kolomije wala chato kinako click!
Wewe nawe wale wale.Kijana una hasira sana. Kunywa maji mengi kwanza. Naona upo nje ya mada mwemzako anaongelea mada iliyopo mezani wewe unamjadili mtu. Huu tunauita ufinyu wa kufikiri. Only people with mental disorder wanaweza kuwa na akili kama zako. Mwenzako anatema nondo za kufa mtu wewe unatema mashudu.
Hehehe jombaa tafuta 'substitute' asee naona kama cha Arusha kitapendeza. 😀Nachelea Kusema Kupigwa Marufuku Hardcore Alcohol Mida kama hii ya Asubuhi Kumedhoofisha Uwezo Binafsi wa Kutema Lugha ya Malikia [emoji16][emoji3]
Kijana una hasira sana. Kunywa maji mengi kwanza. Naona upo nje ya mada mwemzako anaongelea mada iliyopo mezani wewe unamjadili mtu. Huu tunauita ufinyu wa kufikiri. Only people with mental disorder wanaweza kuwa na akili kama zako. Mwenzako anatema nondo za kufa mtu wewe unatema mashudu.