Look busy, Magufuli is coming? Surely Tanzanian professionals are beyond this

Look busy, Magufuli is coming? Surely Tanzanian professionals are beyond this

Mengi uliyoyataja ni mambo yake binafsi, hayazuii utendaji wake kikazi.

Vile vile unasahau kuwa baadhi ya maamuzi yaliyotolewa akiwa waziri hayakuwa yake, bali amri kutoka juu. Tamaduni zetu pia ni tofauti na za nchi nyingine. Unapolinganisha maadili ya viongozi zingatia pia na tamaduni za nchi husika.

umeamini sasa nilichokuwa nakuambia. siku zote hana hoja. anaongea ongea tu kama punguani. umeona mambo aliyoporomosha?? basi mwambie athibitishe moja baada ya jingine uone atakavyokuja na maudaku ya saluni.

ujumbe ni rais wangu Magufuli wewe piga kazi. hawa wapiga kelele hawakosekani.
hata kikwete walimsema tena vibaya sana. sasa umekuja wewe Magufuli wanakusema tuu. ni watu wasiojitambua, ikinyesha mvua wanalalamika na jua likiwaka wanalalamika vile vile. sasa sijui kati ya mvua na jua bora nini!!!??
 
Yapi yake binafsi? Unachoraje mstari kwamba hili ni binafsi na hili ni la umma?

Nyerere alisema kazi ya serikali haitaki watu wahuni wahuni tu, kamaunataka kufanya uhusi fanya , lakini usifanye ukiwa na kazi ya serikali. Mke wa Kaizari hatakiwi kuwa na mawaa. Unaelewa hayo?
.
Naelewa kuwa kofia ya malkia haitakiwi kuwa na doa na hayo ndiyo mapungufu ambayo nilidokezea mwanzoni. Lakini kwa sasa Tanzania iko katika hali mahututi, hayo mambo madogo madogo sijui nini hayasumbui kwa sasa.

Tunataka daktari bingwa afanye upasuaji hata kama ni mlevi. Watu hawakulalamikia ufanisi wa Pro.Shaba eti kwasababu alikuwa analewa sana bali walijali kazi yake.
Kwamba mamuzi yametolewa kwa baraza la mawaziri sioutetezi. Baraza la Mawziri likiamua kuua wagogo wote, Magufuli akakubali na kutekeleza kama waziri, atakosa uwajibikaji kwa sababu maamuzi yalitoka katika baraza la mawaziri?

Unajua kitu kinaitwa "The Nuremberg Trials" ? Unajua precedent iliyowekwa na Nuremberg Trials kwa wanajeshi wa Kijerumani walioua Wayahudi kwa msingi wa kutekeleza amri za wakubwa wao? Unajua kwamba huo utetezi ulitupiliwambali na wakaonekana wana makosa?

Ukitoa utetezi wa baraza la mawaziri lilisema, hivyo nikafanya, huo si utetezi, kamaulichofanya ni kibaya, hapo unakubali umefanya kosa. Ungeweza kujiuzulu kama hukubaliani na uamuzimbaya wa baraza la mawaziri.

Nuremberg trials - Wikipedia
.
Maamuzi ya kisheria hubadilika kama pseudopodium, kutokana na mazingira, utamaduni na wakati. Kwahiyo huwezi kuutumia mafano wa Ujerumani wakati wote na mahali pote.

Kuhusu maamuzi ya kwenye baraza la mawaziri hatuwezi jua kwanini hakubishia wakubwa zake, huenda alijifanya mjinga ili aje kuokoa jahazi baadae. Angelikuwa na kiranga labda angeishia kupigwa chini. kitendo tuu cha yeye kuchaguliwa kuwa mgombea unafikiri kilikuwa cha kawaida?
 
.
Naelewa kuwa kofia ya malkia haitakiwi kuwa na doa na hayo ndiyo mapungufu ambayo nilidokezea mwanzoni. Lakini kwa sasa Tanzania iko katika hali mahututi, hayo mambo madogo madogo sijui kujaza mimba hayasumbui kwa sasa.

Tunataka daktari bingwa afanye upasuaji hata kama ni mlevi. Watu hawakulalamikia ufanisi wa Pro.Shaba eti kwasababu alikuwa analewa sana bali walijali kazi yake.

.
Maamuzi ya kisheria hubadilika kama pseudopodium, kutokana na mazingira, utamaduni na wakati. Kwahiyo huwezi kuutumia mafano wa Ujerumani wakati wote na mahali pote.

Kuhusu maamuzi ya kwenye baraza la mawaziri hatuwezi jua kwanini hakubishia wakubwa zake, huenda alijifanya mjinga ili aje kuokoa jahazi baadae. Angelikuwa na kiranga labda angeishia kupigwa chini. kitendo tuu cha yeye kuchaguliwa kuwa mgombea unafikiri kilikuwa cha kawaida?
Magufulini fisadi situ kwa sababu alikubali maamuzi ya kifisadi yaliyopitishwa na baraza la mawaziri, aliu hijack mchakato mzimawa kuuza nyumba za serikali,mpaka akawauzia familia yakena hawara yake nyumba za serikali kinyume na utaratibu. Huyo hawara hata hakuwa mfanyakazi wa serikali.

Mtu kamahuyu huwezi kusema anapigana na ufisadi,huyu anapigania ulaji wake na timu yake kwa gia ya ufisdi tu.

Na sasa mambo yanavyoenda bilatenda huko serikalini, madudu yakija kuibuka usishangae kuambiwa utawala wa Magufuli watu wamepiga sana chinichini huko.

Kwa sababu utawala mzimaunaenda kwa kumsikiliza mtu, hauendi kwa kufuata process.

Watu waki timekidogo tu, wanapiga mpaka mikono inaota sugu.
 
Sababu hatujazoea kufanya kazi, sisi ni visingizio, kuhudhuria misiba, chai masaa, lunch masaa, kufiwa kukicha, kufikiria kuiba makazini kila wakati na kufanya kazi masaa machache kwa kadiri tutakavyoweza!
Ukitufukuza kazi lazima uipate fresh, zile nguvu tulizokuwa tunazihifadhi ndizo zitatumika hapa, kwa kulalamika mitaani, vyombo vya habari na kwa yoyote aliye tayari kutusikiliza, utajuta!
 
Magufulini fisadi situ kwa sababu alikubali maamuzi ya kifisadi yaliyopitishwa na baraza la mawaziri, aliu hijack mchakato mzimawa kuuza nyumba za serikali,mpaka akawauzia familia yakena hawara yake nyumba za serikali kinyume na utaratibu. Huyo hawara hata hakuwa mfanyakazi wa serikali.

Mtu kamahuyu huwezi kusema anapigana na ufisadi,huyu anapigania ulaji wake na timu yake kwa gia ya ufisdi tu.

Na sasa mambo yanavyoenda bilatenda huko serikalini, madudu yakija kuibuka usishangae kuambiwa utawala wa Magufuli watu wamepiga sana chinichini huko.

Kwa sababu utawala mzimaunaenda kwa kumsikiliza mtu, hauendi kwa kufuata process.

Watu waki timekidogo tu, wanapiga mpaka mikono inaota sugu.
.
Hiyi kweli inawezekana mtu akawa na mabaya tuu bila hata ya jambo moja zuri? We huoni kuna tatizo katika mzani wako? Sisi hapa tumeonesha mapungufu ya Mh. Rais lakini pia tumeeleza mazuri yake lakini mwenzetu unaua tuu, sasa ni binadamu gani aliye mbaya tuu?
 
Fisadi ina maana nyingi ni utongozaji wa kufanya mtu asiyekubalika akubalike, kuishi kikupe, uchafu, unyonyaji, ugomvi, ubaya, umalaya, ubadhirifu, kukosa maadili.

Magufuli kwa kauli zake tu ni fisadi.

Kwa kumtunga mimba Mama Kariuki, mke wa mtu na waziri wake, ni fisadi. Tena si fisadi tu, ni fisadi mjinga.

Kwa kuuza nyumba za serikali nje ya mchakato, ni fisadi.

Kwa nini mnamtetea mpumbavu huyu?
SUMAYE AKIFAFANUA UUZWAJI WA NYUMBA SERIKALI SWALI LA SAED KUBENEA via YouTube
 
Fisadi ina maana nyingi ni utongozaji wa kufanya mtu asiyekubalika akubalike, kuishi kikupe, uchafu, unyonyaji, ugomvi, ubaya, umalaya, ubadhirifu, kukosa maadili.

Magufuli kwa kauli zake tu ni fisadi.

Kwa kumtunga mimba Mama Kariuki, mke wa mtu na waziri wake, ni fisadi. Tena si fisadi tu, ni fisadi mjinga.

Kwa kuuza nyumba za serikali nje ya mchakato, ni fisadi.

Kwa nini mnamtetea mpumbavu huyu?
Mkuu hili sidhani! Duh hii kali kuliko, nimelisikia mtaani, ila kusemwa na hata wewe naanza kuuliza kama ni kweli, ila bado naona ni uzushi tu...
 
SUMAYE AKIFAFANUA UUZWAJI WA NYUMBA SERIKALI SWALI LA SAED KUBENEA via YouTube

Tumeshakubali kwamba lilikuwa nisuala la uamuzi wa baraza la mawaziri,hakuna ubishi kuhusu hilo.

Na hilo halijaondoa ufisadi wa Magufuli.

Kwa sababu hata kamaukikubali kwamba uamuzi wa baraza la mawaziri ulikuwa sahihi (kitu ambacho bado kina utata), Magufuli aliingilia process na kui hijack.

Kunamamlaka maalumya kuuza nyumba, Magufuli aliipora mamlaka hiyo kazi hiyo, akaifanya yeye,akauzia watu ambao hawakustahili, mpakakimada wake.

Hayo hayakupitishwa na baraza la mawaziri.

Hayoni ufisadi tu.
 
Mkuu hili sidhani! Duh hii kali kuliko, nimelisikia mtaani, ila kusemwa na hata wewe naanza kuuliza kama ni kweli, ila bado naona ni uzushi tu...
Mazee, hiyo habari ni kweli, kutoka kwa credible sources, si uzushi uzushi tu.
 
Hehehehe! Dah nafuata huu mtiririko wa hawa wawili Al-Watan na eliakeem hadi kicheko, ila Al-Watan matusi kwa rais wa nchi ndio napishana na wewe, yule pale ni taasisi, bendera ya nchi, jemedari mkuu wa jeshi la nchi, inapaswa ushutumu utenda kazi wake na sio kumtukana.

Nyote wawili mnajadili bila kuweka facts zinazoweza kulinganishwa, unaposema Magufuli ameua uchumi weka na data kabisa na kulinganisha kati ya alivyoingia na ilivyo leo hii, comparative analysis, na yule pia anayemtetea kwamba ameboresha naye aweke facts zinazoweza kulinganishwa, ili kuhitimisha mjadala, bila ya hivyo mtaendelea kupashana tu mpaka uzi uingie kurasa hamsini lakini humo hamna chochote cha kujenga.

Naona views nyingi sana kwenye huu uzi, ina maana kuna watu wanasoma mipasho yenu hii japo kimya kimya, mtumie hiyo fursa kuanika taarifa za kuaminika.
 
Hehehehe! Dah nafuata huu mtiririko wa hawa wawili Al-Watan na eliakeem hadi kicheko, ila Al-Watan matusi kwa rais wa nchi ndio napishana na wewe, yule pale ni taasisi, bendera ya nchi, jemedari mkuu wa jeshi la nchi, inapaswa ushutumu utenda kazi wake na sio kumtukana.

Nyote wawili mnajadili bila kuweka facts zinazoweza kulinganishwa, unaposema Magufuli ameua uchumi weka na data kabisa na kulinganisha kati ya alivyoingia na ilivyo leo hii, comparative analysis, na yule pia anayemtetea kwamba ameboresha naye aweke facts zinazoweza kulinganishwa, ili kuhitimisha mjadala, bila ya hivyo mtaendelea kupashana tu mpaka uzi uingie kurasa hamsini lakini humo hamna chochote cha kujenga.

naona views nyingi sana kwenye huu uzi, ina maana kuna watu wanasoma mipasho yenu hii japo kimya kimya, bila mtumie hiyo fursa kuanika taarifa za kuaminika.
Nimeuliza kama kuna mtu anajua Bank of Tanzania (BOT) imeshusha interest rate kwa mara ngapi mwaka huu? Kutoka asilimia ngapi mpaka ngapi?

Na sababu gani zimefanya hilo liwe hivyo?

Nimeuliza kama kuna mtu anajua uzalishaji wa viwandani, ambao ulikuwa mdogo hata kabla Magufuli hajawa rais, umeshuka kwa kiwango gani, kwa mujibu wa BOT.

Just for starters. Sijajibiwa.

Instead watu wanaleta crude hagiography hapa.

I strongly believe in the law of reciprocity.If someone brings crude hagiography, I treat him like a farcical fart fronting as a formidable fortress of foresight, I just jest and jive and jingle and joke.

Why should I take such a schmuck seriously?
 
MK254
at last umekuja. maana umelianzisha baadaye ukaingia mtini. ukawa unatucheki tu ahaaa haaa haaa.

huju Mr jargons akaja na maandishi yenye gibberish phrases nyingi. mpaka akina pingili nywee wakawa wanavurugika. badala ya kuelekeza uangalifu wao kwenye hoja au maana ya maneno anayoandika, wenyewe wakawa wanashangilia jargons. ikabidi niingilie kati kwa kuuliza unatoa matusi na very serious allegations. can you qualify your utterance by facts and figures form credible authority. NADHALI ulishuhudia mvua ya matusi niliyokula. mpaka wa leo hajatoa evidence yoyote ya maneno yake.

HALAFU sijui huyu jamaa JF wamemuokota wapi?? kuna umuhimu wa watu kuchunguza members before joining. halafu sijawahi muona hapa jukwaa la Afrika Mashariki.

kweli kwenye hili jukwaa lazima ni acknowledge kina Geza Ulole, Annael, ndinda, na wengine wengi tu na hata wewe MK254 mmenijenga sana kimijadala. siwezi ongea kauli yoyote bila justification.

sasa unakuta lijamaa linaongea pumba tu za vijiweni. ukiuliza una uhakika? linaanza jargons. sasa sijui hizo ndo fact???
 
MK254
at last umekuja. maana umelianzisha baadaye ukaingia mtini. ukawa unatucheki tu ahaaa haaa haaa.

huju Mr jargons akaja na maandishi yenye gibberish phrases nyingi. mpaka akina pingili nywee wakawa wanavurugika. badala ya kuelekeza uangalifu wao kwenye hoja au maana ya maneno anayoandika, wenyewe wakawa wanashangilia jargons. ikabidi niingilie kati kwa kuuliza unatoa matusi na very serious allegations. can you qualify your utterance by facts and figures form credible authority. NADHALI ulishuhudia mvua ya matusi niliyokula. mpaka wa leo hajatoa evidence yoyote ya maneno yake.

HALAFU sijui huyu jamaa JF wamemuokota wapi?? kuna umuhimu wa watu kuchunguza members before joining. halafu sijawahi muona hapa jukwaa la Afrika Mashariki.

kweli kwenye hili jukwaa lazima ni acknowledge kina Geza Ulole, Annael, ndinda, na wengine wengi tu na hata wewe MK254 mmenijenga sana kimijadala. siwezi ongea kauli yoyote bila justification.

sasa unakuta lijamaa linaongea pumba tu za vijiweni. ukiuliza una uhakika? linaanza jargons. sasa sijui hizo ndo fact???
We mbwa koko.

Ukiniongelea mimi ongea na mimi.

Usiniongelee mimi kwa wengine wakati niko hapa mwenyewe.

Usiwe kama a shy bitch
 
We mbwa koko.

Ukiniongelea mimi ongea na mimi.

Usiniongelee mimi kwa wengine wakati niko hapa mwenyewe.

Usiwe kama a shy bitch

teh teh teh tihiii.
nishaaa kujua ulipo. sasa kila mtu anajua kuwa huwezi kujenga HOJA wala kuja na facts and figures. badala yake wewe ni bingwa wa mashudu na pumba. halafu sijui jf walikuokota wapi. of all discussion umekuja na ka link ka kipindi cha medieval era. eti sijui Ujerumani blabla wanajeshi. hujui hata kama kuna kitu kinaitwa collective vs ministerial responsibility.

rudi shule usituletee madogoli hapa. huna uwezo wa kujenga hoja za kisomi. unakuja na issue za kinyonge eti mimba sijui amempa sasa ulitaka akupe wewe. hapa tunataka issues na watu.
 
teh teh teh tihiii.
nishaaa kujua ulipo. sasa kila mtu anajua kuwa huwezi kujenga HOJA wala kuja na facts and figures. badala yake wewe ni bingwa wa mashudu na pumba. halafu sijui jf walikuokota wapi. of all discussion umekuja na ka link ka kipindi cha medieval era. eti sijui Ujerumani blabla wanajeshi. hujui hata kama kuna kitu kinaitwa collective vs ministerial responsibility.

rudi shule usituletee madogoli hapa. huna uwezo wa kujenga hoja za kisomi. unakuja na issue za kinyonge eti mimba sijui amempa sasa ulitaka akupe wewe. hapa tunataka issues na watu.
Wewe akili yako haijaweza kujua kwamba kitu kibaya kikifanywa na cabinet, collective responsibility itamaanisha wote wanawajibika kwa ubaya na ministerial responsibility itamaanisha waziri anahusika.

Collective responsibility sio absolution kama maamuzi yalikuwa mabaya.

Waziri wa Rwanda hatakiwi kujitetea kwa kusema kwamba genocide ilikuwa planned na cabinet, akapitisha pamoja na cabinet, therefore kuna collective responsibility na yeye hana makosa.

Kama genocide ni makosa, huo si utetezi. Hapo waziri amekubali kwamba yeye na cabinet nzima wana hatia.

Halafu Nuremberg Trials zilikuwa baada ya WWII, sio medieval times.

Rudi shule inaonekana ulikimbia umande.
 
Wewe akili yako haijaweza kujua kwamba kitu kibaya kikifanywa na cabinet, collective responsibility itamaanisha wote wanawajibika kwa ubaya na ministerial responsibility itamaanisha waziri anahusika.

Collective responsibility sio absolution kama maamuzi yalikuwa mabaya.

Waziri wa Rwanda hatakiwi kujitetea kwa kusema kwamba genocide ilikuwa planned na cabinet, akapitisha pamoja na cabinet, therefore kuna collective responsibility na yeye hana makosa.

Kama genocide ni makosa, huo si utetezi. Hapo waziri amekubali kwamba yeye na cabinet nzima wana hatia.

Halafu Nuremberg Trials zilikuwa baada ya WWII, sio medieval times.

Rudi shule inaonekana ulikimbia umande.

sasa kama the cabinet was wrong kwa nini lawama zote abebeshwe Magufuli na si serikali yote ya Mkapa??
 
Nimeuliza kama kuna mtu anajua Bank of Tanzania (BOT) imeshusha interest rate kwa mara ngapi mwaka huu? Kutoka asilimia ngapi mpaka ngapi?

Na sababu gani zimefanya hilo liwe hivyo?

Nimeuliza kama kuna mtu anajua uzalishaji wa viwandani, ambao ulikuwa mdogo hata kabla Magufuli hajawa rais, umeshuka kwa kiwango gani, kwa mujibu wa BOT.

Just for starters. Sijajibiwa.

Instead watu wanaleta crude hagiography hapa.

I strongly believe in the law of reciprocity.If someone brings crude hagiography, I treat him like a farcical fart fronting as a formidable fortress of foresight, I just jest and jive and jingle and joke.

Why should I take such a schmuck seriously?

Ndio basi hivi, huu uzi unafuatwa na watu wengi, the thread has generated a lot of interest, so you would be doing justice by providing verifiable and comparable facts to support your allegations, you have put up some very interesting allegations about BOT and doubts on nation's industrial productivity, so the onus is your bruh, to prove them so those attempting to disprove you can counter with their facts.

In engagements like this, by using verifiable hard facts, statistics and raw figures, helps a lot in settling the long drawn battles of egos. There are so many instances I've been silenced this way and also I've had my last word and laugh too after following this simple procedure.
Toyota escudo najua unapita pita hapa kimya, hebu toa tamko.
 
sasa kama the cabinet was wrong kwa nini lawama zote abebeshwe Magufuli na si serikali yote ya Mkapa??
Nani kasema lawama yote anabebeshwa Magufuli?

Kama lawama zote inabebeshwa serikali nzima, na Magufuli alikuwa sehemu ya serikali hiyo, Magufuli atakosaje lawama?

Au unafikiri serikali ni majengo?
 
Back
Top Bottom