Looking for a handsome man aged 32 - 40

Looking for a handsome man aged 32 - 40

***** walahi! Wanawake wengine mna mazarau! Utafikiri mnakunya pesa,eti hukuvutiwa nae" muumbe wa kwako akuvutie,kwani alikwambia alivutiwa na wewe,
wewe ni mjinga sana, sidhani.kama unaakili timamu, kuvutiwa au kutovutiwa n mtu ni hisia, it has nothing to do with madharu.....So stupid
 
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.
ni pm fasta nikupe madude ya studio.niko DAR.natokea A.CITY mitaa ya sombetini
 
Back
Top Bottom