Looking for a serious man to start a family with

Looking for a serious man to start a family with

Ndio, Kwan hapo unadhan kinachofatwa nn??.

Alafu hivi nani aliwaambia,Mwanaume lazima amzidi umri mwanamke ??


Yaan Unaacha kuolewa na kijana wa miaka 29 kisa ye mwanamke namiaka 33, alivyo na akili kidogo, anapenda kuzalishwa na Mume wamtu !!
Tatizo wanaume tukiwazidi umri mnatuitaga mishangazi🤣🤣🤣
 
Tatizo wanaume tukiwazidi umri mnatuitaga mishangazi🤣🤣🤣
Aaahhh banaaa mkishapendana inabaki ,huyu Ni Mume wangu..huyu ni Mke wangu .


Mwanaume anabaki kua mwanaume, kUNA WAKATI anakukiromea, Kuna wakat anakupetipeti, Kuna wakati vibao vya makalio paaaa paaaa Usirudie ujinga wako hapa..Kuna wakati anakubbelezaaa ,Anakupigia Mashinee,. Anakutoa out ..anakupa Mimba, anakuletea zawadi..mnafanya Maendeleo ,kuja kushtuka mmezeeka pamoja.
 
Aaahhh banaaa mkishapendana inabaki ,huyu Ni Mume wangu..huyu ni Mke wangu .


Mwanaume anabaki kua mwanaume, kUNA WAKATI anakukiromea, Kuna wakat anakupetipeti, Kuna wakati vibao vya makalio paaaa paaaa Usirudie ujinga wako hapa..Kuna wakati anakubbelezaaa ,Anakupigia Mashinee,. Anakutoa out ..anakupa Mimba, anakuletea zawadi..mnafanya Maendeleo ,kuja kushtuka mmezeeka pamoja.
Aaa wapi, ukija kustuka kapata kibinti kidogo, anakuaga anakwambia nimepata size yangu.
 
giphy.gif
 
Hello members!

Im a Christian woman of 34 with one kid, looking for a serious man to start a family with. I am employed in private sector.

If you mean it, 34 years/above, have legal earning, Christian and matured enogh, welcome to my Dm.

34 yrs and above, mwanaume aliye serious awe single? Ww mwenyewe ushakuwa na mtoto tayari 34 yrs, yaani ulikuwa na mahusiano tayari, alafu thru miracles, unataka 34 yrs man awe single, are you dreaming? It seems like umeumizwa huko katika previous relationship sasa unataka mwanaume single 34 yrs upooze machungu, mbona kama uko na haraka sana.. Labda uwe mke wa pili au nyumba ndogo chances zipo walau, soko gumu sana dada yangu, soko la akina dada kwa sasa sio rahisi hivyo, hali ngumu uchumi, alafu si unajua kuna vita Ukraine na Russia, inaharibu mapenzi pia, wanaume wengi wanakufa vitani na hali ya uchumi wanaume waliobakia wanakimbia majukumu..

Kubali kuwa mke mdogo au nyumba ndogo, hapo probability yako itapanda kupata mwanaume 34 yrs and above aliye serious, ila kama unataka tu 34 yrs boda boda wako wengi, kila la kheri
 
😂😂😂
Ndio, Kwan hapo unadhan kinachofatwa nn??.

Alafu hivi nani aliwaambia,Mwanaume lazima amzidi umri mwanamke ??


Yaan Unaacha kuolewa na kijana wa miaka 29 kisa ye mwanamke namiaka 33, alivyo na akili kidogo, anapenda kuzalishwa na Mume wamtu !!
 
34 yrs and above, mwanaume aliye serious awe single? Ww mwenyewe ushakuwa na mtoto tayari 34 yrs, yaani ulikuwa na mahusiano tayari, alafu thru miracles, unataka 34 yrs man awe single, are you dreaming? It seems like umeumizwa huko katika previous relationship sasa unataka mwanaume single 34 yrs upooze machungu, mbona kama uko na haraka sana.. Labda uwe mke wa pili au nyumba ndogo chances zipo walau, soko gumu sana dada yangu, soko la akina dada kwa sasa sio rahisi hivyo, hali ngumu uchumi, alafu si unajua kuna vita Ukraine na Russia, inaharibu mapenzi pia, wanaume wengi wanakufa vitani na hali ya uchumi wanaume waliobakia wanakimbia majukumu..

Kubali kuwa mke mdogo au nyumba ndogo, hapo probability yako itapanda kupata mwanaume 34 yrs and above aliye serious, ila kama unataka tu 34 yrs boda boda wako wengi, kila la kheri
Mkuu mbona una dharau watu........kuna mwenzio kama ww yeye alipata ajali usiku wa saa 6 kaingia mtaroni boda wa shift ya usiku wakawa hawana time naye.
 
Hello members!

Im a Christian woman of 34 with one kid, looking for a serious man to start a family with. I am employed in private sector.

If you mean it, 34 years/above, have legal earning, Christian and matured enogh, welcome to my Dm.

Re try to reconcile with the father once again kama yupo
 
Kikao cha mwisho tulikubaliana hakuna kuoa familia ya mtu .utaolewa ulikozaa .HAKUNA KUOA FAMILIA YA MTU.HAKUNA KUOA SINGLE MAMA
 
Hello members!

Im a Christian woman of 34 with one kid, looking for a serious man to start a family with. I am employed in private sector.

If you mean it, 34 years/above, have legal earning, Christian and matured enogh, welcome to my Dm.
Mungu akupe hitaji la moyo wako.
 
Ila tuache uongo kumpata mwanaume wa miaka 34 mwenye akili yake nzuri, hajaoa, anayetafuta mchumba mitandaoni ni nadra km kuona mkojo wa kuku. Mwanaume wa maana hawezi kufikisha 34 yo and above hajaoa na akakubali kuoa mwanamke wa mtandaoni. Mna matatizo gani mpaka mshindwe kupata wachumba/wenzi kwenye mazingira mliyozaliwa na kukulia, kusoma, kufanya kazi, majirani na huko mnakoishi? Mnatuacha na maswali mengi sana mjue! Mathalani wewe unafanya kazi private sector km ulivyodai ina maana hakuna workmate aliyependezwa na wewe mkaanzisha familia? Unataka muingizane mikenge humu ndani!
Hatari sana...
 
Back
Top Bottom