Looking for a serious man to start a family with

Looking for a serious man to start a family with

34 yrs and above, mwanaume aliye serious awe single? Ww mwenyewe ushakuwa na mtoto tayari 34 yrs, yaani ulikuwa na mahusiano tayari, alafu thru miracles, unataka 34 yrs man awe single, are you dreaming? It seems like umeumizwa huko katika previous relationship sasa unataka mwanaume single 34 yrs upooze machungu, mbona kama uko na haraka sana.. Labda uwe mke wa pili au nyumba ndogo chances zipo walau, soko gumu sana dada yangu, soko la akina dada kwa sasa sio rahisi hivyo, hali ngumu uchumi, alafu si unajua kuna vita Ukraine na Russia, inaharibu mapenzi pia, wanaume wengi wanakufa vitani na hali ya uchumi wanaume waliobakia wanakimbia majukumu..

Kubali kuwa mke mdogo au nyumba ndogo, hapo probability yako itapanda kupata mwanaume 34 yrs and above aliye serious, ila kama unataka tu 34 yrs boda boda wako wengi, kila la kheri
You are not God,dont judge!
 
Hello members!

Im a Christian woman of 34 with one kid, looking for a serious man to start a family with. I am employed in private sector.

If you mean it, 34 years/above, have legal earning, Christian and matured enogh, welcome to my Dm.
Nimeelewa Christian tu. Anyway mnaoelewaga hayo mavimombo kazi kwenu. Humo ndani itakua full ung'eng'e
 
Hello members!

Im a Christian woman of 34 with one kid, looking for a serious man to start a family with. I am employed in private sector.

If you mean it, 34 years/above, have legal earning, Christian and matured enogh, welcome to my Dm.
Your fooolish bro
 
Hello members!

Im a Christian woman of 34 with one kid, looking for a serious man to start a family with. I am employed in private sector.

If you mean it, 34 years/above, have legal earning, Christian and matured enogh, welcome
Dak 0'

Baraka Mpenja: Karibu sana katika derby ya kariakoo, timu ndo zinaingia uwanjanii...oooh Yanga tayari ana goli 1... haya ni majabu, mpira Hata haujaanza Yanga kashapata goli!!!"

Dak 5'
Baraka Mpenja: "Yanga wanacheza rafu sana, mguu wa shingo,

Ila tuache uongo kumpata mwanaume wa miaka 34 mwenye akili yake nzuri, hajaoa, anayetafuta mchumba mitandaoni ni nadra km kuona mkojo wa kuku. Mwanaume wa maana hawezi kufikisha 34 yo and above hajaoa na akakubali kuoa mwanamke wa mtandaoni. Mna matatizo gani mpaka mshindwe kupata wachumba/wenzi kwenye mazingira mliyozaliwa na kukulia, kusoma, kufanya kazi, majirani na huko mnakoishi? Mnatuacha na maswali mengi sana mjue! Mathalani wewe unafanya kazi private sector km ulivyodai ina maana hakuna workmate aliyependezwa na wewe mkaanzisha familia? Unataka muingizane mikenge humu ndani!
Si kweli ,kila mtu anamapito yake
 
But my dear, how can u find a serious man if u are not serious yourself?
 
Wanawake Narudia kuwambia ,endeleeni kushupaza shingo.


Hivi Mwanaume wa miaka 35, 36, 37 38 nakuendelea, yeye Hana Mchumba, Hana Mke ? Kwamba alikua anakusubiria wewe ?

Au unazungumzia Wagane na waloachana kwenye Ndoa ?.


Wewe sema, nataka Mwanaume ,mwenye kazi, awe mkristo, awe amekomaa, umri uanzie miaka 30 nakuendelea !!.

Wewe una miaka 34, Kwan ukiolewa na wamiaka 30 Kuna tatizo?.

Wanaume Waoaji wengi wako kwenye miaka 30--33 , hapa Ndipo wengi wanaoa.


Juu ya hapo, uyo mwanaume ana Matatizo yake binfsi, au ndo Hawa "Kataaa Ndoa, Ndoa ni utapeli , Ndoaa ni wizi".
Ndio maana huwa tunasisitiza sana wanawake wawe serious na mahusiano kabla hawajavuka miaka 25. Maana kuanzia 26 ni changamoto zinaanza kutengenezwa.
 
😀😀wanaume wa humu wengi wanastress sana alafu single mother sijui Kosa lao nn Yan mtu akisema ana mtoto wanapanick
 
Huyu kaandika kidhungu ili kupata standard lakini kajiroga...............tumia lugha yako Tu mama upate kusudio MTU atambue ni jinsi gani uko seriously.....lakini you know.....you know zikizidi utaambulia kuliwa kimasikhara
 
😀😀wanaume wa humu wengi wanastress sana alafu single mother sijui Kosa lao nn Yan mtu akisema ana mtoto wanapanick
Huwa mnarudigi kugongwa na mliozaa nao, haya mambo mbona yapo sana tu kwenye jamii ndo maana vijana wanajitoa, mwanamke akishazaa ni changamoto sana
 
Back
Top Bottom