mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 605
- 677
kwaiyo mkishaharibu uko ndo mnatafuta pakufia,,,nyambaff kabisawoman with one child,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwaiyo mkishaharibu uko ndo mnatafuta pakufia,,,nyambaff kabisawoman with one child,
Hahaha kwahiyo kwasasa vile vigezo vyako umevipunguza? Like awe mrefu, kifua kipana, handsome boy flan hivi na awe na hela nyingi. Anyways,,,all the bestHello members!
I am a 34-year-old Christian woman with one child, looking for a serious man to start a family with. I am employed in the private sector.
If you meet the following criteria - 34 years or older, with a legal source of income, Christian, and mature - welcome to my PM."
[emoji23][emoji23]KATAA NDOA.
Unatusaliti Wenzio.
Wakifika 30yrs wanataka mtu mwenye gari sijui wanampatagaNdio maana huwa tunasisitiza sana wanawake wawe serious na mahusiano kabla hawajavuka miaka 25. Maana kuanzia 26 ni changamoto zinaanza kutengenezwa.
Mahusiano hayana formula mkuu,unaweza kuanza serious ukiwa na 25 na yasidumu na ukaanza ukiwa 30+ na yakadumu,ni Imani tuNdio maana huwa tunasisitiza sana wanawake wawe serious na mahusiano kabla hawajavuka miaka 25. Maana kuanzia 26 ni changamoto zinaanza kutengenezwa.
Mzungu mjanja sn. ..amoena Africa population haipungui hivyo anakuja na kilaushenzi wake,mojawapo nihayomambo ili athibiti population, ushoga ikiwa mojawapo nawito nimkubwa AfricaKATAA NDOA.
Unatusaliti Wenzio.
Huyo aliyekuzalisha kwanini hajakuoa?tuanzie hapo kwanza...Hello members!
I am a 34-year-old Christian woman with one child, looking for a serious man to start a family with. I am employed in the private sector.
If you meet the following criteria - 34 years or older, with a legal source of income, Christian, and mature - welcome to my PM."
Itakusaidia nini?Huyo aliyekuzalisha kwanini hajakuoa?tuanzie hapo kwanza...
Wabongo ni natural judges!Mahusiano hayana formula mkuu,unaweza kuanza serious ukiwa na 25 na yasidumu na ukaanza ukiwa 30+ na yakadumu,ni Imani tu
Ha ha ha ha da de kidooooooooooooooooooh
Hao waliopo katika mazingira uliyoyataja ndo hawa hawa hapa jf na mitandao mingine, ebu jiulize wewe upoje na kwann upo hapa kaka watu wa hapa sio sahihi???Ila tuache uongo kumpata mwanaume wa miaka 34 mwenye akili yake nzuri, hajaoa, anayetafuta mchumba mitandaoni ni nadra km kuona mkojo wa kuku. Mwanaume wa maana hawezi kufikisha 34 yo and above hajaoa na akakubali kuoa mwanamke wa mtandaoni. Mna matatizo gani mpaka mshindwe kupata wachumba/wenzi kwenye mazingira mliyozaliwa na kukulia, kusoma, kufanya kazi, majirani na huko mnakoishi? Mnatuacha na maswali mengi sana mjue! Mathalani wewe unafanya kazi private sector km ulivyodai ina maana hakuna workmate aliyependezwa na wewe mkaanzisha familia? Unataka muingizane mikenge humu ndani!
Ila Kwel Mkuu,Je Umejaribu Zama PM?Wanawake wanao penda sana kuongea kiingereza ni wa juaji kama una bisha mjaribu huyu.
Hapo umeongelea bahati mbaya against kawaida. Ni sawa na kusema ng'ombe kuua mwanadamu ni kawaida sawa na mwanadamu kuua ng'ombe kwaajiri ya kitoweo.Mahusiano hayana formula mkuu,unaweza kuanza serious ukiwa na 25 na yasidumu na ukaanza ukiwa 30+ na yakadumu,ni Imani tu
Huyu sasa ndio mke. Hana mambo mengi. Kelsea na financial servicesHello members!
I am a 34-year-old Christian woman with one child, looking for a serious man to start a family with. I am employed in the private sector.
If you meet the following criteria - 34 years or older, with a legal source of income, Christian, and mature - welcome to my PM."
Serious kama mimi au asinifikie mimi?Hello members!
I am a 34-year-old Christian woman with one child, looking for a serious man to start a family with. I am employed in the private sector.
If you meet the following criteria - 34 years or older, with a legal source of income, Christian, and mature - welcome to my PM."
Taja kwanza hiyo private sector, maana hata zile saloon zetu za kupiga massage nazo ni private sector pia!!Hello members!
I am a 34-year-old Christian woman with one child, looking for a serious man to start a family with. I am employed in the private sector.
If you meet the following criteria - 34 years or older, with a legal source of income, Christian, and mature - welcome to my PM."