Aisee mambo ya kule yaache kule kule. Hata wewe kuna wakati ukifika utaitwa Mzee. Hivyo usinisagie kunguni, na hivyo kunisababishia nikakosa mke.Mi nafahamu siku zote mashabiki wa ile timu wengi ni wazee, afu kutwa kumdis Onyango
Halafu nina mashaka kwenye ile cabinet ya wazee kususia bidhaa za Azam kuna uwezekano wewe ndiye uliyetoa wazo.
Na mimi ninakurudisha usome kuaUsipokuwa financial stable at least basi uwe na positivite mindset.hoja zako zote nimezijibu kwenye bandiko langu,karudi usome tena
Kwanini zisiwepo kwani unafikiri wewe na hiyo ID yako hata usingejitangaza unahisi vijana wasingekuja kukuomba uhusiano ?
Mungu akupe hitaji la moyo wako ila kuwa makini wengi hapa ni fake life , mtu anaweza kukufekia mpaka sauti na jinsi ya kutembea ili umpende [emoji3][emoji3]
Unaona unaanza kum attack mumeo Mtarajiwa?Wewe wahi tuu national institute of mental health
Na mimi ninakurudisha usome kua
Advantage unayoitafuta huku ni yakuokata asiyekujua ila wa huku ndio wa huko.
Sitaki kusema kwamba wa huko wanakujua vizuri ndio maana jua linazama, hapana sisemi hivyo.
Ungerudisha umri nyuma ningekupa kijana wangu Intelligent businessman ila sasa umeenda sana , mwisho watasema kaoa kashangazi.God exist,na anasaidia pale anapoitwa.huoni exclusive people wanavyoishia kujisema wenyewe huku[emoji23][emoji23]
Shida pesa na hyo elimu..Haya semeni jingine,huyo sasa no child wala nini,mshindwe wenyewe...
Kwahiyo tukutumie birth certificate na academic certificates then tukae tayar kwa kuitwa kwenye interview....
You have not said anything about your morphology , you know what attracts most young men these days.
Taarab imo?
Nakuja huko huko. How will you feel if I mention your dad here?Does your mother have???am not here for morphology transaction.mniache basii nijibu pm mbona watu wachokozi
Nakuja huko huko. How will you feel if I mention your dad here?