makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Oya hatoki mtu nduki, nitakuwa nimempata pasono mwenzangu.. 😂😂😂 ukiniona upasono wangu utanikimbia wewe
Tutakuwa couple 👫 bopra zaidi... Kapo pasono hivi, hatutongozwi. 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya hatoki mtu nduki, nitakuwa nimempata pasono mwenzangu.. 😂😂😂 ukiniona upasono wangu utanikimbia wewe
Mie najua unatupiga kamba tuu hapa. Huna cha sura pesono wala nini.Sitokuja kufanya hayo yote, nimeridhika na huu uumbaji wa Mungu, na sura pasono yangu nadunda tu
Tukikatiza mahali hamna mtu anashtuka chochote😂😂Oya hatoki mtu nduki, nitakuwa nimempata pasono mwenzangu.. 😂
Tutakuwa couple 👫 bopra zaidi... Kapo pasono hivi, hatutongozwi. 😂
Si kamba ni kweli mkuu, afu tuache makelele kwenye uzi wa watu.😛Mie najua unatupiga kamba tuu hapa. Huna cha sura pesono wala nini.
Nilishapata story zako mtoto sura cute kabisa, kajitako kaushikaji
Sawa njoo chemba basi tumalizaneSi kamba ni kweli mkuu, afu tuache makelele kwenye uzi wa watu.😛
Yaani kama hakijatokea kitu.Tukikatiza mahali hamna mtu anashtuka chochote😂😂
Hilo lakusema ni chaguo lake Mungu amempangia hapo hapana nakataa anan'ga'gania mwanamke ambaye anamcheat na anaambiwa kabisa na ushahidi anapewa na huyo mwanamke asiye na haya haitoshi anamwambiwa mama mkwe wake eti kuna rafiki yangu mmoja anaitwa Jason (Mwanaume) anakaa Mwanza ameniomba niende kwake nikae kama wiki ananitafutia kazi bibie financial services hapa kweli kuna mwanamke? Unaweza kuita huyu manzi kapangiwa na Mungu kuwa nae?jamani si kama napenda kujiweka low profile ndiyo uhalisia huo mkuu, naamini wakati wa Mungu ni wakati sahihi, pole kwa huyo brother wako ila huenda hilo ndiyo chaguo lake Mungu alompangia.
🤣🤣🤣🤣Tukikatiza mahali hamna mtu anashtuka chochote😂😂
Dah mnafurahisha Sana 🤣Yaani kama hakijatokea kitu.
Sisi sura zetu akhera hakuendeki, duniani hakukaliki 😂
Na yule uliyemtaja kwenye kapo challenge? Au unataka kuishi kote kote 😄
Huchoki kulalamika?Humu ukipata ni inbox wengi wanaume wa humu wameelaniwa wamechoka kuishi wanasubiri mtu awapige na kitu kizito kichwani wafe .
Hata nguvu za kiume hawanaga wameishia kusema tu humu kuna malaya hata mechi wanakimbia .
Ili kuepuka aibu.
Kwa hiyo best huku haupo sehemu sahihi penda kwenda kanisani au mahali penye watu wengi .
Humu mmh umekosea nilikuwa na karipiwa najion mie mjanja ila nimejuA walikuwa wananitakia wameprogramiwa aisee hujui tu .
Hawajitambui
Siku hizi nasikia mnapigwa mgejege na kuachwa ju kwa ju tu, vijana hawana mda wa kupoteza tena!!Huu ni ushuhuda mzuri, hongereni sana mkuu, kumbe inawezekana..
🤣🤣🤣🤣🤣Huchoki kulalamika?
Wanakula mbususu wanaichakaza wee wanakimbia😃Siku hizi nasikia mnapigwa mgejege na kuachwa ju kwa ju tu, vijana hawana mda wa kupoteza tena!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natamani nije pm ila naogopa toka siku ile nilipo mfuata mmoja mwenye uhitaji kama wewe akageuka kuwa askari polisi [emoji23][emoji23] sio kwa maswali yale , nikaishia kudelete convo na kumuunfollow
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida lugha tu, si unajua sisi wenye phd za CHEMISTRY tunashida ya hiyo lugha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeh sanaaaHumu ukipata ni inbox wengi wanaume wa humu wameelaniwa wamechoka kuishi wanasubiri mtu awapige na kitu kizito kichwani wafe .
Hata nguvu za kiume hawanaga wameishia kusema tu humu kuna malaya hata mechi wanakimbia .
Ili kuepuka aibu.
Kwa hiyo best huku haupo sehemu sahihi penda kwenda kanisani au mahali penye watu wengi .
Humu mmh umekosea nilikuwa na karipiwa najion mie mjanja ila nimejuA walikuwa wananitakia wameprogramiwa aisee hujui tu .
Hawajitambui