Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilashaka mtoa mada ndo malaya mwenyewe.Hao malaya wamelalamika wapi? wamelalamika kwako? Duh
Heheeee huyu mtanashati atakua malaya kaambiwa na malaya wenzieKwahiyo wewe ni malaya hajakupa pesa
Ubuyu hupi mkuu?Mbona huyu ashatumia sana ubuyu!
Ova
ngada alishaacha kitamboNg...da
Labda kama kaacha
Ova
Ila mshikaji ana height tamu jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa wali nini?,
Hawatuwezi, iko wazi N2N soldiers.Namnukuu lord eyes
"Yule yule aliejupandisha ndio atakaekushusha, sisi tunazidi sababisha haya yote sio maisha" "macho kwenye fedha dizaini ya umbwa msaka fefha, kuhusu mchezo ni vita na hivi ndivyo tunavyovicheza"
"Marafiki wanafiki ma bitch wana sneach, na nikihitaji msaada wanajeshi wapo fiti"
"Tumezaliwa kupambana, hatupo hapa kurumbana, jealous sio mzuka kaa chini tuongee vya maana,"
Mwisho wa kunukuu
Hatari sana broo nami nyumbani 220 hapoHawatuwezi, iko wazi N2N soldiers.