Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 776
wa iyo malaya wamekufata inbox? [emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mbona sikumbuki
Wewe ni mmojawapo wa hao Malaya?Lord eyes popote ulipo huu ujumbe ukufikie sio kwamba ninakuogopa kukuchana face to face ila nimeepusha shari isiyo na msingi.
Lord eyes tabia ya kuokota okota malaya hovyo itakutokea puani ,ipo siku utapigwa picha za uchi bila kujijua mwisho wa siku ukaishia kuaibika.
Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako .
Lord eyes tabia ya kuomba kununuliwa bia na tabia ya kutaka mademu za watu kinguvu ni tabia ya kishamba ipeleke kwenu hukooo arusha huku dar hiyo tabia ukiiendekeza itakutokea puani.
Kingine lord eyes acha bhangi ,bhangi ukiiendekeza itakushawishi urudie tena matumizi ya unga mwisho wa siku ukaishia kupotea kama Chidy benzi.View attachment 1084752
Wewe inakukera nini akivuta?lord eyez namjua , hayo malalamiko unayosema ni kweli tupu, alianza kuvuta bangi toka yuko form one, bange kwake ni kama chakula
We jamaa wali nini?,
hawamjui vizuri lord eyes hawa ndio maana wanahisi ninamsingizia.
Lord Eyes Namjua Toka Miaka Ya 90s Yuko Arusha Hata Dar Hakufaham, Hiyo Tabia Ya Kupiga Mizinga Ndio Zake Hizo Mi Mwenyewe Nimeshampa Ofa Za Bia Sana Huyo Jamaa, Halafu Hajui Umri Umeenda Nimesoma Nae Secondary Tena Alikuwa Mbele Yangu Kidato Kimoja, Toka Miaka Ya 90 Mpaka Leo Anaendeleza Usela Wa Kijinga, Jamaa Bange Na Unga Zimemuathiri Akilihawamjui vizuri lord eyes hawa ndio maana wanahisi ninamsingizia.
poaSijambo, mambo
AiseeUngekuwa wa kike ningekutolea mahari kenge wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu kweli pale La Chaz sinza Mori ndo alikuwaga anaokota mitetea kama Hana akili nzuri vile.
mtpa mada nataka kufahamu jinsia yakeNimependa hii mistari
"Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako"
Ndiyo inavyotakiwa hivyo, pesa unatakiwa utoe kwa mchumba na mke tu na siyo kwa malaya