Lord Eyes badilika tabia ya kuokota Malaya haikufai

Lord Eyes badilika tabia ya kuokota Malaya haikufai

Lord eyes popote ulipo huu ujumbe ukufikie sio kwamba ninakuogopa kukuchana face to face ila nimeepusha shari isiyo na msingi.

Lord eyes tabia ya kuokota okota malaya hovyo itakutokea puani ,ipo siku utapigwa picha za uchi bila kujijua mwisho wa siku ukaishia kuaibika.

Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako .

Lord eyes tabia ya kuomba kununuliwa bia na tabia ya kutaka mademu za watu kinguvu ni tabia ya kishamba ipeleke kwenu hukooo arusha huku dar hiyo tabia ukiiendekeza itakutokea puani.

Kingine lord eyes acha bhangi ,bhangi ukiiendekeza itakushawishi urudie tena matumizi ya unga mwisho wa siku ukaishia kupotea kama Chidy benzi.View attachment 1084752
Wewe ni mmojawapo wa hao Malaya?
 
hawamjui vizuri lord eyes hawa ndio maana wanahisi ninamsingizia.
hawamjui vizuri lord eyes hawa ndio maana wanahisi ninamsingizia.
Lord Eyes Namjua Toka Miaka Ya 90s Yuko Arusha Hata Dar Hakufaham, Hiyo Tabia Ya Kupiga Mizinga Ndio Zake Hizo Mi Mwenyewe Nimeshampa Ofa Za Bia Sana Huyo Jamaa, Halafu Hajui Umri Umeenda Nimesoma Nae Secondary Tena Alikuwa Mbele Yangu Kidato Kimoja, Toka Miaka Ya 90 Mpaka Leo Anaendeleza Usela Wa Kijinga, Jamaa Bange Na Unga Zimemuathiri Akili
 
Ungekuwa wa kike ningekutolea mahari kenge wewe
 
Umekuwa msemaji wa hao malaya! Watu wa hv ushauri ni sawa bure, cha maana ni kuwekwa sober house tu.
 
Jf ina mashoga maarufu takriba watatu...kwenye huu uzi nimewastukia wawili
 
10 ,000 na 20,000 ni kidoti???!
We we watoa 1,000,000???
 
Ndio nani huyo mijini kwenu huko!?
Hv humu jf mnafikiri tunawanua watu nchi hii... jana nasikia shilole mara uchebe.. sijapata ufafanuzi.
Leo jipya. Au sie wazee kuna majukwaa hatupaswi kuingia
 
Nimependa hii mistari
"Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako"

Ndiyo inavyotakiwa hivyo, pesa unatakiwa utoe kwa mchumba na mke tu na siyo kwa malaya
mtpa mada nataka kufahamu jinsia yake
 
Back
Top Bottom