Lord eyes popote ulipo huu ujumbe ukufikie sio kwamba ninakuogopa kukuchana face to face ila nimeepusha shari isiyo na msingi.
Lord eyes tabia ya kuokota okota malaya hovyo itakutokea puani ,ipo siku utapigwa picha za uchi bila kujijua mwisho wa siku ukaishia kuaibika.
Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako .
Lord eyes tabia ya kuomba kununuliwa bia na tabia ya kutaka mademu za watu kinguvu ni tabia ya kishamba ipeleke kwenu hukooo arusha huku dar hiyo tabia ukiiendekeza itakutokea puani.
Kingine lord eyes acha bhangi ,bhangi ukiiendekeza itakushawishi urudie tena matumizi ya unga mwisho wa siku ukaishia kupotea kama Chidy benzi.
View attachment 1084752