Lord Eyes badilika tabia ya kuokota Malaya haikufai

Lord Eyes badilika tabia ya kuokota Malaya haikufai

Namnukuu lord eyes

"Yule yule aliejupandisha ndio atakaekushusha, sisi tunazidi sababisha haya yote sio maisha" "macho kwenye fedha dizaini ya umbwa msaka fefha, kuhusu mchezo ni vita na hivi ndivyo tunavyovicheza"
"Marafiki wanafiki ma bitch wana sneach, na nikihitaji msaada wanajeshi wapo fiti"
"Tumezaliwa kupambana, hatupo hapa kurumbana, jealous sio mzuka kaa chini tuongee vya maana,"


Mwisho wa kunukuu
sawa
 
Lord eyes popote ulipo huu ujumbe ukufikie sio kwamba ninakuogopa kukuchana face to face ila nimeepusha shari isiyo na msingi.

Lord eyes tabia ya kuokota okota malaya hovyo itakutokea puani ,ipo siku utapigwa picha za uchi bila kujijua mwisho wa siku ukaishia kuaibika.

Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako .

Lord eyes tabia ya kuomba kununuliwa bia na tabia ya kutaka mademu za watu kinguvu ni tabia ya kishamba ipeleke kwenu hukooo arusha huku dar hiyo tabia ukiiendekeza itakutokea puani.

Kingine lord eyes acha bhangi ,bhangi ukiiendekeza itakushawishi urudie tena matumizi ya unga mwisho wa siku ukaishia kupotea kama Chidy benzi.View attachment 1084752
Kwaiyo mkuu amekutia akakupa buku teni?
 
Lord eyes popote ulipo huu ujumbe ukufikie sio kwamba ninakuogopa kukuchana face to face ila nimeepusha shari isiyo na msingi.

Lord eyes tabia ya kuokota okota malaya hovyo itakutokea puani ,ipo siku utapigwa picha za uchi bila kujijua mwisho wa siku ukaishia kuaibika.

Malaya wengi wanalalamika kwamba wewe ni mbahili mnoo yani unaweza ukaonesha burungutu la fedha mwisho wa siku ukaishia kutoa elfu 10 tu ikizidi sana elfu 20 na ndiyo maana malaya wengi wanaokujua hawakupapatikii hata kidogo kwa sababu ya ubahili wako .

Lord eyes tabia ya kuomba kununuliwa bia na tabia ya kutaka mademu za watu kinguvu ni tabia ya kishamba ipeleke kwenu hukooo arusha huku dar hiyo tabia ukiiendekeza itakutokea puani.

Kingine lord eyes acha bhangi ,bhangi ukiiendekeza itakushawishi urudie tena matumizi ya unga mwisho wa siku ukaishia kupotea kama Chidy benzi.View attachment 1084752
Basi tulia nae wewe uwe unamtimizia haja zake naamini hatookota tena malaya
 
Kwaiyo Lord Eyes yupo humu?,...wanaume wa Dar ni lini mtaacha kufuatilia maisha ya watu....huyo Lord Eyes mbona ni mtu mzima,anaelewa baya na zuri.....mazee tupambane kutafuta hela,hizi stori pelekeni vijiwe vya kahawa!
Haya brother wa vwawa
 
Back
Top Bottom