Lord Eyes badilika tabia ya kuokota Malaya haikufai

sawa
 
Kwaiyo mkuu amekutia akakupa buku teni?
 
Basi tulia nae wewe uwe unamtimizia haja zake naamini hatookota tena malaya
 
Kwaiyo Lord Eyes yupo humu?,...wanaume wa Dar ni lini mtaacha kufuatilia maisha ya watu....huyo Lord Eyes mbona ni mtu mzima,anaelewa baya na zuri.....mazee tupambane kutafuta hela,hizi stori pelekeni vijiwe vya kahawa!
Haya brother wa vwawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…