Lord Eyes badilika tabia ya kuokota Malaya haikufai

Wewe ni mmojawapo wa hao Malaya?
 
hawamjui vizuri lord eyes hawa ndio maana wanahisi ninamsingizia.
hawamjui vizuri lord eyes hawa ndio maana wanahisi ninamsingizia.
Lord Eyes Namjua Toka Miaka Ya 90s Yuko Arusha Hata Dar Hakufaham, Hiyo Tabia Ya Kupiga Mizinga Ndio Zake Hizo Mi Mwenyewe Nimeshampa Ofa Za Bia Sana Huyo Jamaa, Halafu Hajui Umri Umeenda Nimesoma Nae Secondary Tena Alikuwa Mbele Yangu Kidato Kimoja, Toka Miaka Ya 90 Mpaka Leo Anaendeleza Usela Wa Kijinga, Jamaa Bange Na Unga Zimemuathiri Akili
 
Ungekuwa wa kike ningekutolea mahari kenge wewe
 
Umekuwa msemaji wa hao malaya! Watu wa hv ushauri ni sawa bure, cha maana ni kuwekwa sober house tu.
 
Jf ina mashoga maarufu takriba watatu...kwenye huu uzi nimewastukia wawili
 
10 ,000 na 20,000 ni kidoti???!
We we watoa 1,000,000???
 
Ndio nani huyo mijini kwenu huko!?
Hv humu jf mnafikiri tunawanua watu nchi hii... jana nasikia shilole mara uchebe.. sijapata ufafanuzi.
Leo jipya. Au sie wazee kuna majukwaa hatupaswi kuingia
 
mtpa mada nataka kufahamu jinsia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…