Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli yupo wapi?angeipiga faini ya maisha lori na mmiliki wake
Usichezee Malori ya Kijerumani ni malori yenye nguvu kupita malori ya aina yoyote ile duniani.
Photoshop @work
acheni hizo bwana hilo
lori lina tani ngapi na hilo catterpilar lina tani ngap?? Na hizo tairi
zinaweza kuhimili huo mzigo kweli ????
Tafakari
MACK vipi?
![]()
Uongo mwingine wa photo duka, je huo mzigo ulishindwa kusafirisha ukiwa vipande vipande?
Heee na gari la masawee nalo lipo na ndisi sakee aiseee!!!!!hatujafika huko..
![]()
![]()
USA wana mchezo kuwa kwa usalama wa vitu vyao na watumiaji, ni wao tu wanaweza kugusa. Hivyo kwa Mroli mkubwa kama huo, ni wao tu wanaweza kuhangaika nalo. Hata ndege huwa hawaruhusu uweke vipande vyako ulivyotengeneza mwenyewe hasa kwa zile party za nje ya ndege.
Sasa ukisema ulikatekate hilo na kuja kuliunga si kasheshe?
![]()
![]()
[Mbona hii ipo tuu ....Hata kwa binadamu ipo....(Lulu na mzee wa kitambi)
ha ha ha ng'ombe halemewi na nundu yake...
Mkuu wewe ndio uko karibu na jibu la ukweli.Naomba kujua uzito wa hilo cat! !!!!
Mkuu imaginations za wabongo zinashindwa ku-click kwa vile hawawahi kuona wala kusikia ubebaji wa mizigo mizito sana duniani.USA wana mchezo kuwa kwa usalama wa vitu vyao na watumiaji, ni wao tu wanaweza kugusa. Hivyo kwa Mroli mkubwa kama huo, ni wao tu wanaweza kuhangaika nalo. Hata ndege huwa hawaruhusu uweke vipande vyako ulivyotengeneza mwenyewe hasa kwa zile party za nje ya ndege.
Sasa ukisema ulikatekate hilo na kuja kuliunga si kasheshe?
![]()
![]()
Nakubaliana na wewe coz naona kama kulikua hamna sababu ya hilo caterpiller kubebwa kwasababu lina magurudumu ya kawaida, lingebebwa kama lingekuwa na matairi ya kifaru kwamba litaharibu hiyo barabara ya lami!
Liliobebwa kwa upana ni three times upana wa lililobeba ukiangalia barabara zetu ni za two vehicles . katika hali ya kawaida hii load haiwezi pita barabara yoyote kwa hiyo huu ni uongo wa PHOTO SHOP