Lori lagongana na Coaster uso kwa uso, watu tisa wafariki dunia

Lori lagongana na Coaster uso kwa uso, watu tisa wafariki dunia

shuhuda
I was there , Coaster imebakiza majeruhi wawili tu, ambao pamoja na marehemu wamefikishwa hospitali ya wilaya...Lori pia hakuna alietoka...Inatisha sana iyo ajali, miili mingine imefanywa kuokotwa vipande vipande yaani inatisha kuangalia...Eeeh Allah 🤲
😭
 
Back
Top Bottom