Barabara ya bagamoyo ni nzuri sana na pana. Ilishatengenezwa past 5 years wa wapi bado ni nyembamba mkuu,barabara ambazo gari moja inaenda na moja inarudi ni chanzo kikubwa cha ajali,ifike kipindi tuwe na barabara ambazo ni one way
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara ya bagamoyo ni nzuri sana na pana. Ilishatengenezwa past 5 years wa wapi bado ni nyembamba mkuu,barabara ambazo gari moja inaenda na moja inarudi ni chanzo kikubwa cha ajali,ifike kipindi tuwe na barabara ambazo ni one way
Exactly mkuu, wapumbavu wengine humu ni minyonya damuUnataka uone Picha za Maiti hapa Mkuu?
Tujiheshimu basi mda mwingine
No mkuu hii barabara sio bora, imejengwa chini ya kiwango kama kawaida, nimeitumia few days ago, kipande cha Korogwe hadi Mombo, kidogo kipo safi.Barabara ya bagamoyo ni nzuri sana na pana. Ilishatengenezwa past 5 years wa wapi wewe.
Wewe unachanganya, unaelewa hata bagamoyo road inaanzia wapi na kuishia wapi kweli..?No mkuu hii barabara sio bora, imejengwa chini ya kiwango kama kawaida, nimeitumia few days ago, kipande cha korogwe hadi mombo, kidogo kipo safi
Extremist kwenye ubora wenu.Daaah inauma sana mtu anapoteza maisha angali ana umri wa kukamilisha hapa duniani. Hii ni kazi ya shetani. Mungu akiweka ahadi yake huwa anaitimiza. Tunaishi miaka 70 kinyume na hapo ni ubatili.
Poleni kwa familia zote waliopoteza ndugu na jamaa kwenye ajali hiii.
Mafisadi dhambi hii mtaibeba maisha yenu yote. Mnapokwapua fedha za umma tunakosa hela za kufanya miradi ya barabara za njia 4 nchi nzima. Ajali hii ingeepukika endapo tungelikuwa wote wasafi, wakweli na wenye hofu ya Mungu
HaleluiyaExtremist kwenye ubora wenu.
cc: Mshana JrWale jamaa ikifika uchaguzi tu kuna mambo mengi ya kutisha yatatokea.
Taarifa tunazipata asubuhi hiiNi ajali ya jana Jumapili au leo Jumatatu?
Korogwe mpaka mombo ni bagamoyo road 😡😡😡😡No mkuu hii barabara sio bora, imejengwa chini ya kiwango kama kawaida, nimeitumia few days ago, kipande cha korogwe hadi mombo, kidogo kipo safi
Mkuu kabla sija comments humu huwa najua, hii barabara ya Bwagamoyo imejengwa chini ya kiwango, na najua wapi hii ajali imetokea, nimetoa mfano wa kipande cha Korogwe to Mombo kwa barabara ambayo kiwango chake ni bora, sawa ningetoa mfano wa Iyovi pass, kile kipande kipo bora, next time soma ili uelewe sio kuuliza maswali, pumbavuWewe unachanganya, unaelewa hata bagamoyo road inaanzia wapi na kuishia wapi kweli..?
Humu tatizo mnakuwaga wajuaji sana, ulikuwa unaelekezwa ukawa unaleta ubishi na akili zako za form 4 D. Muwe wasikivu, theres a lot that you dont know and people wants to help you to know.
Soma tena comment yangu uielewe, acha upumbavu, kipande cha korogwe to mombo ni mfano wa barabara bora, hii ya Bagamoyo ni mbovu, kipande cha makambako to chimala(T1),kipo bora kasoro ni uchafu wa matuta, next time soma ili ueleweKorogwe mpaka mombo ni bagamoyo road 😡😡😡😡
Wewe ndo msenge, huwezi ukafananisha kipande cha Mombo -Korogwe na bagamoyo road, ni vitu viwili tofauti. Tatizo mnapenda sana ujuaji, mtakuja kuwa mashoga kisa kuonekana mnajua kila kitu. Na hio barabara haijajengwa chini ya kiwango, matumizi yake yamekuwa makubwa kuliko estimation zilizofanywa kipindi inajengwa. Haujui vingi na ni bora ukubali ujifunze kuliko kuleta ujuaji.Mkuu kabla sija comments humu huwa najua, hii barabara ya Bwagamoyo imejengwa chini ya kiwango, na najua wapi hii ajali imetokea, nimetoa mfano wa kipande cha Korogwe to Mombo kwa barabara ambayo kiwango chake ni bora, sawa ningetoa mfano wa Iyovi pass, kile kipande kipo bora, next time soma ili uelewe sio kuuliza maswali, pumbavu
Huyo fala kazoea barabara zake za ikwilili huko anakuja kujifanya anaijua bagamoyo road. Watu sijui wana shida gani na kukaa kimya kama kitu kweli hawakijui.Korogwe mpaka mombo ni bagamoyo road 😡😡😡😡
wacha Ccm Iendelee kutuongoza kwa akili kama hizi.Daaah inauma sana mtu anapoteza maisha angali ana umri wa kukamilisha hapa duniani. Hii ni kazi ya shetani. Mungu akiweka ahadi yake huwa anaitimiza. Tunaishi miaka 70 kinyume na hapo ni ubatili.
Poleni kwa familia zote waliopoteza ndugu na jamaa kwenye ajali hiii.
Mafisadi dhambi hii mtaibeba maisha yenu yote. Mnapokwapua fedha za umma tunakosa hela za kufanya miradi ya barabara za njia 4 nchi nzima. Ajali hii ingeepukika endapo tungelikuwa wote wasafi, wakweli na wenye hofu ya Mungu
Mitano tena🤣🤣wacha Ccm Iendelee kutuongoza kwa akili kama hizi.
Yaani shetani ndio alikuwa anaendesha hilo lori na daladala.
Ninaunga mkono CCM iendelee kuiba kutuongoza mgao wa umeme urudi maradufu, sukari ipatikane mara mbili kwa mwaka, mafuta ya kula yatolewe kwenye jengo la CCM Lumumba