Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Wapumzike kwa Amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio nisome ili nielewa. Kwanza umeedit post, na kuongeza maneno kidogo iko safi .Soma tena comment yangu uielewe, acha upumbavu, kipande cha korogwe to mombo ni mfano wa barabara bora, hii ya Bagamoyo ni mbovu, kipande cha makambako to chimala(T1),kipo bora kasoro ni uchafu wa matuta, next time soma ili uelewe
Watu wa pwani mnafuga majini sanashuhuda
I was there , Coaster imebakiza majeruhi wawili tu, ambao pamoja na marehemu wamefikishwa hospitali ya wilaya...Lori pia hakuna alietoka...Inatisha sana iyo ajali, miili mingine imefanywa kuokotwa vipande vipande yaani inatisha kuangalia...Eeeh Allah 🤲
Bagamoyo-Msata umetumia kigezo gani kusema imejengwa chini ya kiwango au macho yako?No mkuu hii barabara sio bora, imejengwa chini ya kiwango kama kawaida, nimeitumia few days ago, kipande cha Korogwe hadi Mombo, kidogo kipo safi.
Mamayer zakoUnataka uone Picha za Maiti hapa Mkuu?
Tujiheshimu basi mda mwingine
Mpumbavu aliwkunyaAcha upumbavu huu,picha za nini?waliopoteza maisha hapa ni binadamu wenzetu sio nyumbu