Lotion gani inamfaa kijana wa kiume mwenye rangi nyeupe au maji ya kunde?

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587
Nimekuwa mtumiaji wa mafuta ya mgando tangu nazaliwa especially babycare,family,mamis,Vaseline,na samona.Ila siku za karibuni ngozi yangu imekuwa haieleweki nimeshauriwa niachane na mafuta ya mgando nitumie japo lotion afu ngozi yangu ina tabia ua kukauka .

Naombeni ushauri wadau lotion gani inanifaa
 
Vaseline for men.ukipata ya kopo ndo mazuri zaidi kuliko bottled.
 
 


'Carol White,' au tafuta mkorogo wa aina yeyote, utakusaidia tu.
 
Kuna hizi hapa Body lotion moja imetengenezwa kwa kutumia maziwa na mbegu za maboga na nyingine imetengenezwa kwa maziwa pia na mafuta ya sesame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…