Dili ndo habari ya mjini, mtu kauliza kistaarabu nyinyi wewe unaleta fikra zako potofu...,Kuwa mwangalifu na lugha yako.
Unaonyesha dharau kubwa kwenye asset ya mkulima.
Unaonekana wewe ni mpiga dili.
Happy skin bei ganBrother usipate shida happy skin ndo ninayoyatumia mimi, hayatoi jasho hata kidogo.
Wewe mwanaume unaejipaka mafuta ya mgando mpaka leo ni mshamba, kama sio ushamba basi ni umasikini unakusumbua acheni mawazo finyu
Kwahiyo unapenda kuwa na ngozi laini, inayong'aa na kuvutia???Usikarir mkuu mm napenda tu utanashati na npend kuwa na muonekano mzuri ivo tu yani,
27000/= mkuuHappy skin bei gan
Thanx ila kuna ngozi zenye mafuta na ngozi kavu mi yangu inamafuta je itanifaa?27000/= mkuu
carolite mkuuNimekuwa mtumiaji wa mafuta ya mgando tangu nazaliwa especially babycare,family,mamis,Vaseline,na samona.Ila siku za karibuni ngozi yangu imekuwa haieleweki nimeshauriwa niachane na mafuta ya mgando nitumie japo lotion afu ngozi yangu ina tabia ua kukauka .
Naombeni ushauri wadau lotion gani inanifaa
Yeah itakufaa maana happy skin zipo za aina mbili kwa wenye ngozi kavu wanatakiwa watumie extra dry skin na kwa ngozi kama yako unatakiwa utumie ninayoitumia mimi ni normal dry skinThanx ila kuna ngozi zenye mafuta na ngozi kavu mi yangu inamafuta je itanifaa?
Nyie ndio mnapitiwa na popobawa dailyBrother usipate shida happy skin ndo ninayoyatumia mimi, hayatoi jasho hata kidogo.
Wewe mwanaume unaejipaka mafuta ya mgando mpaka leo ni mshamba, kama sio ushamba basi ni umasikini unakusumbua acheni mawazo finyu
Ni kwel kwakua inahitaji matunzo yanayokutaka utumie hyo pesaNgozi ukiwa na pesa inateleza haihitaji hata mafuta;
AiseeeeeNgozi ukiwa na pesa inateleza haihitaji hata mafuta;
Hiyo ya kopo ni creamVaseline for men.ukipata ya kopo ndo mazuri zaidi kuliko bottled.
I guess u r talking from yor experince..., its okay pole mwayaNyie ndio mnapitiwa na popobawa daily
Umenena mimi hata mafuta sina kabisa na nipo mjini demu yoyote nikimtaka nampata.Pesa na usafiri tosha kabisaNgozi ukiwa na pesa inateleza haihitaji hata mafuta;