Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaaNimekuwa nikipaka mafuta ya zeituni,kuna mtu alinitia ujinga kwamba nivea yanachubua
Bado hadi karne watu mnachana nywele nyoa mkuuNatumiaga perfume zile za kiume ambazo hazinukiagi sana😅😅😅, zile za kukata harufu ya jasho tuu isiwe intensive, kidogo tuu ata angalau ukipita karibu na mtu asianze kusema wakaka wa sikuiz wananuka jasho, maana mm natembeaga kama nakimbizwa kwaio nikifika sehemu lazima vijasho vinitoke, alaf hata mwenyew nashaangaaga kwann natembea fasta kama nakimbizwa😅😅😅 kimsingi nikitoka kuoga ni kujikausha then mafuta ya Nazi then kuchana nywele alaf kishada, haina mambo mengi broo😊
Kwa sasa situmii mafuta yoyote.Hahaaaaa
Kwa wale mnaopenda vitu vya asili vyenye zero kemikali tafuta mafuta yanayotokana na mbegu za maboga. Iwe imetengenezwa kikwetukwetu bila kuongezwa kitu. Utang'aa km vile una pesa kweli na unaishi chin ya uangaliz maalum wa Dermatologist mkuu. Hutaamin!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uko sahihi kabisaa.clair men ipo vizuri ila nakushauri usiweke greesalin nyingi kwani yaweza kukuchubua ngozi watu wakabaki wanakushangaa baada ya kubadilika sura ghafla.
Mbona iko sana madukanii.Siku hizi hayapo kabisa sokoni
Si inachubua hii, [emoji23][emoji23][emoji23]Rinju chupa kubwa Elfu 12 chupa dogo Elfu 5.
😁 hamna, haichubui. Kwanini ichubue?Si inachubua hii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Aina ya ngozi yake maana zipo nivea zaid 10 nahisNimekuwa nikipaka mafuta ya zeituni,kuna mtu alinitia ujinga kwamba nivea yanachubua
Nimeachana na mambo ya mafuta,sipaki mafuta na wala situmii sabuni.Aina ya ngozi yake maana zipo nivea zaid 10 nahis
So kama alichagua ambayo inamkataa sio lazma na wewe itakukataa
Inachubua hii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] hamna, haichubui. Kwanini ichubue?
😂😂😂 aiseeToka lini wanaume tukapakaa mafuta? wanaume tunapakaa uji wa dona