Love at first sight

Kauli zako, misimamo yako, wajihi wako na hulka yako (kimaandishi) inakakisi mtu fulani. Kuna watu humu ndani ni wa kuigwa, inapokuwa ndivyo sivyo, majukumu ya vikongwe siye ni kuwakumbusha tu!
Inaakisi mtu fulani asiye na haki ya kukosea na kupendana na mtu?

Kama kutokosea na kumpenda mtu ni mambo yanayoweza kumfanya mtu akawa SIO mtu wa kuigwa, basi nikupe pole....naishi maisha yangu kama binadamu wengine wa kawaida
 
Mahi 😹😹
Kwahiyo wewe unapenda mjifungie chumbani peke yenu..!! Mnafanyaga vitu gani wenzetu 🤣
 
Safi sana
 
Uvivu tu wa kuandika, lakini ilishawahi ni tokea ila mimi nilijiwahi nikasema huyu mtu nisipotumia akili nikatumia moyo atanisumbua mbeleni.

So nikampotezea akadai tuwe marafiki nikakataa ninachoshukuru nilikwepa kuliwa kimasihara,japo nilikuwa nikimuona hadi na sweat gafla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…