Love defined........................

Love defined........................

Express your love verbally. The person you love might not know that you have such strong feelings or emotion, you have to tell her how much you feel for her and let your words flow effortlessly

Points taken and understood
But as you know it is hard for some other person to understand mere words they need more action than words
 
Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia threads zenye kuuliza mapenzi ni nini???

Lakini,baada ya hivi karibuni kumpata mwandani wangu,baada ya kusota bila mafanikio humu jf aliniuliza nini maana ya mapenzi au kupenda???

bila kufikiria nilimjibu"its like scoring three points in an unimaginable and unprecedented move in a tighty basketball match", binafsi nilijikuta bila ya kujiandaa nimetoa nini maana ya mapenzi au kitu kupenda kwa mtazamo wangu kama mcheza mpira wa kikapu nikimaanisha MAPENZI NI KAMA KUFUNGA POINTI TATU KATIKA MAZINGIRA YASIYOTARAJIWA NA YASIYOWEZAKANA KUREJEWA KTK MECHI NGUMU NA YENYE UPINZANI,bila shaka mtazamo huu ulitokana na raha ninayoipata kuwa ndani ya mapenzi mazito ambayo huwa ninajisikia nikifunga point tatu katika mazingira hayo.........

Bila shaka kwa mtazamo huo,chinga,footballer,mwanamuziki na yeyote anayefurahia kitu anachokifanya anaweza akawa na mtazamo wake ktk maana ya kupenda au mapenzi,

..........sijui mtazamo wako, karibu tujadili.....


when I think about this word, my mind conjures up images of all kinds of beautiful things that I have always associated with this word. Flowers, chocolates, candle light dinners, hearts, soft toys, clothes and perfumes, (I hope I haven't left anything out!) these are the words that have become synonymous with love…but, what about the feelings and emotions associated with this word!

I remember growing up with stars in my eyes and love songs ringing through my ears. Slowly my dreams grew bigger and I started waiting for my Prince Charming to come along and take me with him to a beautiful land where we would be surrounded by servants, good clothes, flowers and jewelry. One day I realized the truth about love...that it was much more than material comforts and gains.

Love is Sharing

Believe me when I say that this is one of the most important ingredients of love. It is important to open ones heart and share – pain, joy, success and failure, it really does not matter, as long as the heart is clear. Love is being honest and knowing that the other person feels the same way too, it is sharing and losing ones inhibitions and knowing that the person on the other side will never be judgmental.

Love is Talking

Yes, love is talking. It is about speaking, telling and sharing. After some time people restrict their conversations to discussing bills, children and pets. This is a sure indicator of things going down hill. Bring the spark back by starting a conversation.

Love is Spending Time Together

A few minutes spent together everyday keeps the boredom away. I just made this up right now, but it is because I feel there is nothing like time invested in a relationship…believe me, it pays! Heavy work schedules take up much time and effort, so it is important to get things into perspective.

Love is Faithfulness

To love means to be true, to love unconditionally means to give with all your heart to one, and only one. Love is when you realize that he/she is the best thing that has happened to you and you want to cherish that person and the moments spent with him/her till death do you part.

Love is Being Friends

Love is being friends with each other. Enjoying simple pleasures in life like shopping, catching a movie or watching television at home, apart from a host of other things that "Friends" normally do!

Love is Looking Together in the Same Direction

This may sound clichéd, but it is true…love is having the same goals and taking steps in that direction to make them come true.

I would like to end with one of my favorite quotations…

"Love is the flower of life, and blossoms unexpectedly
and without law, and must be plucked where it is found,
and enjoyed for the brief hour of its duration."
 
Points taken and understood
But as you know it is hard for some other person to understand mere words they need more action than words
I think the best way it's always to give someone a chance, by doing that at least he/she can be able to show it with action apart from words
 
Hii thread ngumu!!
Hivi hatuweielezea (define) love/penzi kwa kiswahili?
Mapenzi kuwa ni hisia za kupenda, kuwa na fulani? ah ............mapenzi ni raha, maumivu, furaha, huzuni, uwoga, kujitoa/jitolea, kulinda, tunza na kujali mtu asiye ndugu yako na ambaye hukuwahi kumfikiria kama ungekutana naye na bado ukajisikia uko salama mikononi mwake kiasi cha kuukabidhi moyo na mwili wako kwake.
 
sijambo mpenzi,ww je?kiuhalisia definion za kupenda zitajaa vitabu lkn embu tupe yako kwanza

ukweli ni kwamba hakuna definition ya upendo lakini
watu wanajaribu kuweka maneno matamu ku explain Upendo..
Binafsi na dhani upendo (LOVE) ni feeling.. ni kitu kitamu hakuna neno la kuelezea
If you feel LOVE you feel LIFE..
 
Natamani sana kuchangia hili sredi lakini limekaa kimombo mombo wakati mi kiinglish nimeishia fom tuu B shule ya Mtakuja Kata sekandare skuul..... Hatukufikia silabasi ya kuchangia sredi kwa kimombo.
 
Hii thread ngumu!!
Hivi hatuweielezea (define) love/penzi kwa kiswahili?
Mapenzi kuwa ni hisia za kupenda, kuwa na fulani? ah ............mapenzi ni raha, maumivu, furaha, huzuni, uwoga, kujitoa/jitolea, kulinda, tunza na kujali mtu asiye ndugu yako na ambaye hukuwahi kumfikiria kama ungekutana naye na bado ukajisikia uko salama mikononi mwake kiasi cha kuukabidhi moyo na mwili wako kwake.
Hivi mtu ambaye hajawahi ku-experience maumivu, Je tunaweza kusema huyo bado hajayajua mapenzi???
 
Natamani sana kuchangia hili sredi lakini limekaa kimombo mombo wakati mi kiinglish nimeishia fom tuu B shule ya Mtakuja Kata sekandare skuul..... Hatukufikia silabasi ya kuchangia sredi kwa kimombo.
Hata hicho ni kimombo
 
Natamani sana kuchangia hili sredi lakini limekaa kimombo mombo wakati mi kiinglish nimeishia fom tuu B shule ya Mtakuja Kata sekandare skuul..... Hatukufikia silabasi ya kuchangia sredi kwa kimombo.

Babu shakmoo..
Niambie basi upendo ni nini
kwa kiswahilina asanta...
(kwa mameno yako mwenyewe)
 
Hivi mtu ambaye hajawahi ku-experience maumivu, Je tunaweza kusema huyo bado hajayajua mapenzi???
Sio kuwa bado hujawahiexperience love ila ile cycle ya love bado haijakamilika....................na kumbuka maumivu ni relative term.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Sio kuwa bado hujawahiexperience love ila ile cycle ya love bado haijakamilika....................na kumbuka maumivu ni relative term.
Kwahiyo siku mtu ukiumizwa basi ile cycle ya love inakuwa imekamilika au it's just part and parcel ya experience??
 
Back
Top Bottom