Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Nilikuwa pale aliingia mnadani na idadi kubwa ni wamasai wenzake
 
Hana LOLOTE La Maana ANALOLIFANYA Na Kawaandaa Hao Watu MAKUSUDI Ili Kulipa KILE Kilichofanywa Na Rais Wa JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Jana Kule Kwao Arusha Na Monduli Pia. Ana SIASA Za KISHAMBA, KIJINGA, KIPUMBAVU NA KITOTO SANA! Tegemea Kesho Hiyo PICHA Kutokea Front Page TANZANIA DAIMA, NIPASHE, MWANANCHI / CITIZEN Na MTANZANIA Kwani HALIFICHIKI KUWA WAHARIRI WAKUU WA HIVYO VYOMBO Wako Ktk Payroll Ya Lowassa. Wakati AKITAFUTA SIFA ZA KIPOPOMA Huko ANAKOPITA MWANAMUME WA SHOKA LEO ALIKUWEPO KWAKE MONDULI ( TMA ) AKIWATUNUKU WAPIGANAJI WETU WALIOTUKUKA. Lowassa Hata UFANYE NINI UWEZO WAKO KWA MAGUFULI NI MDOGO MNO NA SANA SANA TU NINGEKUSHAURI TULIA FANYA YAKO Siasa Zako Hizi ZITAKUTOKEA PUANI Na UTAZIJUTIA.
Mbona wa magufuri pia walikusanywa kwani we hujui......!!!!
 
walizungusha mikono? maana naona salamu ya wazalendo
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
LOWASSA BADO ANA NGUVU KUBWA SANA YA KISIASA TANZANIA kwa wale wanaompuuzia wanajifariji nakumdanganya mtwala ili awape mchuzi wakunywa lakini ukweli ndo huo tena ni mchungu kwa maccm!
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
duh wamejuaje km ni lowasa anaenda dodoma ni zile zile tu move
 
Hana LOLOTE La Maana ANALOLIFANYA Na Kawaandaa Hao Watu MAKUSUDI Ili Kulipa KILE Kilichofanywa Na Rais Wa JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Jana Kule Kwao Arusha Na Monduli Pia. Ana SIASA Za KISHAMBA, KIJINGA, KIPUMBAVU NA KITOTO SANA! Tegemea Kesho Hiyo PICHA Kutokea Front Page TANZANIA DAIMA, NIPASHE, MWANANCHI / CITIZEN Na MTANZANIA Kwani HALIFICHIKI KUWA WAHARIRI WAKUU WA HIVYO VYOMBO Wako Ktk Payroll Ya Lowassa. Wakati AKITAFUTA SIFA ZA KIPOPOMA Huko ANAKOPITA MWANAMUME WA SHOKA LEO ALIKUWEPO KWAKE MONDULI ( TMA ) AKIWATUNUKU WAPIGANAJI WETU WALIOTUKUKA. Lowassa Hata UFANYE NINI UWEZO WAKO KWA MAGUFULI NI MDOGO MNO NA SANA SANA TU NINGEKUSHAURI TULIA FANYA YAKO Siasa Zako Hizi ZITAKUTOKEA PUANI Na UTAZIJUTIA.
Mbona unalia mkuu?
 
Heshima lowasa alionayo pombe hawezi kuipata popote duniani
 
Back
Top Bottom