Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Nyumbu ni ccm ambao Nchi haina maendeleo lakini wameishi kwa matumaini kuwa ipo siku Mungu atashusha muujiza CCM watazinduka na maendeleo kuja kwa kasi .
Hiki ulichokiandika hapa ni nini?

Wewe unahitaji kuhurumiwa kama siyo darasa la kifikra!
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
Badala ya kufunika nchi kaamua kwenda kufunika Dakawa?Hajui kuna mtu kwa sasa anafunika Afrika lakini wala hana makeke?
 
Ni kama namuona hana tofauti na wasanii esp kama Diamond akifurahiwa na wananchi. Siasa naona ipo kuleeeee kwa upande wake
 
View attachment 318776
Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA,amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.
Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake
Mungu aendelee kumlinda our next president 2020

Barare Limited
On 7 April 1997, Edward Ngoyayi Lowassa and his wife Regina Mumba Lowassa incorporated a company by the name of Barare Limited. They are both listed as shareholders, each with 500 shares. They were also both listed as directors of the company which was located on Maktaba Street, Dar es Salaam. In May 2009, Barare Limited was the subject of a money laundering investigation in the UK, after Lowassa's son, Frederick Edward Lowassa was suspected of money laundering.[10]
 
Acha siasa za chuki.
Hazitakufikisha pazuri.
Wengi tunamkubali Magufuli kwa kutimiza wajibu wake kama Rais wa nchi.
Pamoja na hiyo lakini uwepo wa Rais kwenye nchi ya kidemokrasia hakuzuii shighuli nyingine za kisiasa.
Lowasa ana watu mil 10+ waliompa kura kwa sio ajabu watu wake wakimshangilia mtu wanayempenda.

Au unakumbuka bado siasa za chuki na maandamano zilizopitwa na wakati.
Wewe ndiye mwenye siasa z kishamba na chuki.
Nchi yetu ingekua na watu wengi wa aina yako(mwenyezi Mungu atuepushie kizazi cha chuki kama chako) hili taifa leo lingekua linawaka moto mana tumeona hao wenye siasa unazoona ni za kijanja wanayoyafanya kule Zanzibar lakini huyaoni ila ya Lowasa yasiyo na madhara yoyote kwenye jamii unayatolea mimacho ya roho mbaya na chuki.

Watu kama nyie ni hatari sana uchaguzi umeisha na rais ni Magufuli sasa vita ya husuda ya nini. Hamuishiwi maneno mara Ooh kaskazini,mara wachaga ,mara wamasai,nini!! Acheni hizo. Wenzetu hawana hayo mambo.
Mbona watu wa Arusha wamempokea kwa wema na amani bila chuki mh. Magufuli?
Mbona hata wanamuziki na wachezaji wanapokelewaga kwa shangwe na furaha kule air port au u nafikiri watu wote wanapenda ushabiki.

Hiyo ndio raha ya siasa za kistarabu sio kukimbiza na kurushiana lugha za kejeli na matusi tu kila siku.
Watu wameamua kumsalimia mtu wao waliyemchagua na wanampenda kama wanasiasa wengine wenye majina. Kumbuka kuwa tungekua na katiba kama ya Zanzibar leo hii Lowasa angekua Makamu wa Rais.

Naishauri serikali ya Magufuli iachane na wanaojipendekeza kwa kujenga chuki za kisiasa na hasa wale wanaotaka kumdanganya kuwa upinzani ni uadui. Hawa ni majipu yanayotaka kumtoa kwenye kazi ya kutumbua majipu ili aelekeze nguvu zake kupambana na wanasiasa badala ya watu wanaihujumu nchi.
Majipu yana mbinu nyingi. Hata serikali zilizopita walikua wanatumia mbinu hizi hizi kumshauri rais vibaya huku wakimsifia kuwa mambo yako vizuru kumbe wanajiwekea mazingira mazuri ya wizi na kutumia muda mwingi kuponda kila hoja ya upinzani.

Barare Limited
On 7 April 1997, Edward Ngoyayi Lowassa and his wife Regina Mumba Lowassa incorporated a company by the name of Barare Limited. They are both listed as shareholders, each with 500 shares. They were also both listed as directors of the company which was located on Maktaba Street, Dar es Salaam. In May 2009, Barare Limited was the subject of a money laundering investigation in the UK, after Lowassa's son, Frederick Edward Lowassa was suspected of money laundering.[10]
 
Kwani wamasai hawatakiwi kuwa DAKAWA...Hivi mashabiki wa CCM mtaacha lini fikra za Kibaguzi?? unataka kuwaamisha watu kuwa Lowasa alichaguliwa/anapendwa na wamasai tu?
usisahau kuwa lowassa ni kiongozi wa kimila kwenye kabila la wamasai. ndo maana hapo kwenye picha huoni watu wengine zaidi yao. ninachokijua dakawa kuna makabila mengi likiwemo kabile enyeji ambalo sio wamasai. lakini siwaoni hapo kwenye picha.
 
Duuuuh! Lakini mamvi mie nakukubali mahana unamfanya magu awe lesi kwenye serikali yake
 
Ana miezi 3 , nikwel ..ww je unamiezi mingapi kwenye chama chako na nini umefanya.sio kila post ucomment vingine huvijui viache
 
Nyumbu ni ccm ambao Nchi haina maendeleo lakini wameishi kwa matumaini kuwa ipo siku Mungu atashusha muujiza CCM watazinduka na maendeleo kuja kwa kasi .
BORA CCM ITAWALE MILELE HATA CC CDM ASILIA TUKO RADHI KULIKO FISADI KUPEWA NCHI.
 
Back
Top Bottom