Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Andanenga in th house.thnx babake.magwanda yatakoma tunakuja taaaratibu kama kunawa vile!
 
Viva Nova umesomeka na asiye elewa basi ni gamba lililovuliwa
 
Bado natamka siipendi CCM lakini napenda sana style ya LOWASA.Huyu tu ndie chaguo bora la Urais kwa nchi hii 2015.NINA SABABU.
 
Msimchanganye Mungu kwenye siasa hizi za uchwara wakati wote mnajua kuwa hawa watu sio wasafi na hawakukutana Barabarani, EL juzi alimwaga Mboga sasa tusubiri JKM naye amwage Ugali
 
Nova nimekusoma Cousin...
Asiyekuelewa huyo atakuwa anatumia kichwa kubebea masikio.
 
Nape kumbe naye ni ICE Cream ikiwa baridi inajifanya jiwe Jua tu kidogo uyeyuka sasa kakumbana na Jiwe la Mwamba. Kingunge naye kwa Umbea eti alimkatisha EL kuacha kutema nyongo yake sasa bado imemniga ataitemea wapi tena? kweli wa kuonewa utamjua tu kwa kupambana kujisafisha, hii inathibitisha kuwa EL hakuhusika maana mkuu hakukanusha, Kidogo tu EL alitaka amtaje ambaye JK hamjui.
 

Naona umeshampangia na Baraza la mawaziri...teh teh sisi wenye utimamu kichwani hatuchagui mawaziri.
Bali Sisi tunamchagua Muheshimwa Lowassa.

Grande Lowassa
 
Jakaya ana cha kupoteza, Urais kabla ya muda wake, manake msambaratiko wa ccm ni uchaguzi mwingine haraka. What about Jela kwa saga la richmond kwa rais ajaye unaliona?? things might get tough more than you think.

MaRais wastafu wa JMT wana imune, labda mtoe hilo kwenye katiba baba
 
 
hizi ndo akili zenu MAGAMBA ujinga mwingi na hamjiamini hilo loote linatokana na kubebana!

Wewe unaejiamini nenda katafute mawakili kisha umfungulie kesi Mheshimiwa Lowassa.
Unapokuja kupayuka hapa ni kujenga chuki za kitoto tu.
Onyesha ujasiri wako kwa kufuata maelekezo niliokupa na si kukurupuka tu
 

Kipindi Muheshimiwa Lowassa alipokuwa PM uchumi ulikuwaje na sasa hayupo Madarakani uchumi ukoje?
Swala la mvua ya kutengeneza unataka kuniambia science hii nayo pia huijui?
Then kuhisu swala la Richmond ni kuwa juzi alilielezea wazi kwa kusema yeye alikuwa tayari kulibutua, ila alipolipeleka kwa mkuu wa nchi ndio ikawa vile tena....
Acha chuki na hoja dhaifu za vilabuni.
 
Sasa itakuwaje kati ya Dk Slaa, na Lowassa?

Ukiwaweka hao wawili kwa pamoja ni kwamba Lowasa atachukuwa kwani bado ni mtu anaekubalika sana ktk jamii,tofauti na tufikiliavyo sisi wana JF
kumbuka watu wa sasa wanaelewa pumba na mahindi,hata zile propaganda anazozifanya NAPE juu ya kulipiza kisasi kwa Mh Lowasa watu wanazifahamu vizuri sana na mwisho wa siku ni Nape kuishia ktk janga la aibu juu ya huyo Mh Lowasa

kiukweli namkubali Mh Lowasa ni chaguo nzuri kwa CCM 2015
 
Mkuu Kambota nlijua unatumia keyboard kumbe kalamu, haya bana iweke kalamu chini ngoja mi nijipange kwa ubeti wa saba.
 

ril nimecheka sana,unquestionable lawer???????
 
Safi kamanda lowasa,hakuna slaa wala babu silaa,eko Kamanda lowasa,uraisi ni wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…