Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa hawezi kututoa Misri na kutufikisha Canaan kwasababu yeye mwenyewe ni mtumwa wa Rostam Aziz; Huyu mamvi akiukwaa urais mjue mtawala atakuwa Rostam na mawziri wake watakuwa wakina Serukamba, Masha , Makongoro Mahanga na masaburi. Hawa ndio wataleta maendeleo kwa nchi kweli?
Jakaya ana cha kupoteza, Urais kabla ya muda wake, manake msambaratiko wa ccm ni uchaguzi mwingine haraka. What about Jela kwa saga la richmond kwa rais ajaye unaliona?? things might get tough more than you think.
View attachment 42138
Kalamu yangu nashika, shairi nakutungia
Kamanda umeongea, kiwingu umeondoa
Hukutaka kusinzia,makosa kuyarudia
Jibu umetupatia, viva kamanda Lowassa
Mwananchi nimesoma, la jana nilinunua
Machoya yakatuama, dukuduku umetoa
Uliyosema Dodoma, Kwakweli yanavutia
Jibu umetupatia, viva kamanda Lowassa
Richmond kupasua, mapema uligundua
Kikwete ukamwambia, mkataba kuondoa
Rais akakataa, nini alitegemea?
Jibu umetupatia, viva kamanda Lowassa
Nape akashikilia, lile asilolijua
Mikoani kaambaa, uzushi kangangania
Jinalo kulichafua, wewe ukavumilia
Jibu umetupatia, viva kamanda Lowassa
Mapema nilitabiri, falsafa nikapinga
Magamba sikukariri, kuvuana sikuunga
Ukweli niliukiri, mantiki iso kunga
Jibu umetupatia, viva kamanda Lowassa
Mhuyu ndiye peke yake anayeweza kuiokoa tanzania.umesha safishika kiongozi wetu na shujaa unaye thubutu
hizi ndo akili zenu MAGAMBA ujinga mwingi na hamjiamini hilo loote linatokana na kubebana!
Ndio hilohilo.Allah si ndo shetani/ibilisi. Lile joka lenye vichwa 7!!? Hatari......!!!
Lowasa huyu huyu au mwingine? Si huyu aliyetuambia uchumi wa nchi unapaa? Si huyu aliyekuja kutudanganya na mvua ya kutengeneza toka thailand? Si huyu aliyefanya madudu ya Richmond? Huyu ndo awe rais wa tz???
sitarajii watanzania wataruhusu jambo baya kama hilo. Natamani ccm wampitishe awe mgombea wao ili nchi ikombolewe! UNITED WE STAND against evils.
Sasa itakuwaje kati ya Dk Slaa, na Lowassa?
Bado yupo, na kwa sasa anaandaa dodoso a.k.a questionaire kwa ajili ya watuhumiwa wa pande zote mbili-upande wa akina Nape na upande wa akina EL! Moja ya maswali yaliyopo kwenye dodoso hilo kwa upande wa akina EL ni:
Qn:1. Mheshimwa Waziri Mkuu Mstaafu, eti kweli inawezekana mtu kama wewe mweneye utumishi uliotukuka inawezekana kweli ukawa fisadi?! I can't believe it at all; is it true?
Instruction to answer this question is YES or NO!
Qn:2. Mr. Honarable Excellence Unquestinable Lawyer Ndugu Andrew Chenge; is it possible kweli kwa m2 kama mimi nisiwe na tujisent kama tule nje ya nchi wakati nina tung'ombe zaidi ya laki moja?
Instructions to answer: Strictly, my answer should be POSSIBLE or IMPOSSIBLE., over!
Na dodoso kwa Nape na wenzake!
Wewe nape a.k.a Vuvuzela mwenye roho ya korosho, roho mbaya mwenye kijicho na roho ya kwanini, kv tu babako alikufa maskini; Briefly, explain with vivid and strictly strong and unquestionable evidence approved by undoubtful lawyers, as to why u should not be fired from the part u fail u to submit the demanded evidence?!