Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Lowassa na ujanja wake wote eti nae bila ajizi aliamini na kuandika barua ya kuigiza kujiuzuru na kisha akaondoka kurudi Dodoma mjini usiku ule. [/QUOTE]
Unajua nini? Wote ni wajanja, lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya mjanja aliekulia Monduli na mjanja aliyekulia Magomeni!!!
Duh! Imetulia kinoma!...... Tena mjanja wa Magomeni ni mwana-Saigon Camp!....
Inategemea, nyati kajeruhiwa na nani/na nini?, nionavyo mimi nyati kakeruhiwa na muwindaji hodari mwenye siraha nzito- bora nyati akimbie akafie mbali kuliko kujaribu kulipiza. Itakula kwake.
Umezungumza ukweli,kuna tofauti kubwa sana alikotokea sokoine na magomeni,strategically thinking differences?Lowassa na ujanja wake wote eti nae bila ajizi aliamini na kuandika barua ya "kuigiza" kujiuzuru na kisha akaondoka kurudi Dodoma mjini usiku ule. [/QUOTE]
Unajua nini? Wote ni wajanja, lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya mjanja aliekulia Monduli na mjanja aliyekulia Magomeni!!!
Yes,big time!
Allah si ndo shetani/ibilisi. Lile joka lenye vichwa 7!!? Hatari......!!!
nasubir tuandamane wote na ww????!!!!@@#$%
JK si bado ana 3 years?helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......
nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe
WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015
Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn
eeh sokoine tena!mbona unachanganya apple and orange!au umekosea bahati mbaya?tunazungumzia lowassa na mshkaji wake jakaya,sio sokoine na nyerere na kawawa!rudi kwenye mstari!Umezungumza ukweli,kuna tofauti kubwa sana alikotokea sokoine na magomeni,strategically thinking differences?
Yes,big time!
Ukosefu wa AJIRA wa hao watu umesababishwa na hao WAPUUZI ambao unataka KUWATEMBELEA uchi kwa UPUUZI na UFISADI walioufanya.Shame on you!MOTHER F***KER!!!aaaaaahhhhhh.......hauna ajira!!!"""'
uzi huu ni kwa wafanyakaz serikalini!!!!""'
Duuh! kutembea uchi! tena kwa ajili ya EL isee hili bangi la mavi!!!
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......
nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe
WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015
Kwenye mizani uovu wake unazidi wema wake kwa mbali sana!
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......
nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe
WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015
Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn
Mi siwaelewi kwahiyo mnataka kusema rais wa 2015 ni Lowassa na si DK Slaa tena??? Au tunaongelea wagombea tu