Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa na ujanja wake wote eti nae bila ajizi aliamini na kuandika barua ya “kuigiza” kujiuzuru na kisha akaondoka kurudi Dodoma mjini usiku ule. [/QUOTE]

Unajua nini? Wote ni wajanja, lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya mjanja aliekulia Monduli na mjanja aliyekulia Magomeni!!!

Duh! Imetulia kinoma!...... Tena mjanja wa Magomeni ni mwana-Saigon Camp!....
 
Inategemea, nyati kajeruhiwa na nani/na nini?, nionavyo mimi nyati kakeruhiwa na muwindaji hodari mwenye siraha nzito- bora nyati akimbie akafie mbali kuliko kujaribu kulipiza. Itakula kwake.

kwa hiyo bwana "mwindaji hodari" kamjeruhi nyati kwa kusema tu alipiga simu sio?
 
Lowassa na ujanja wake wote eti nae bila ajizi aliamini na kuandika barua ya "kuigiza" kujiuzuru na kisha akaondoka kurudi Dodoma mjini usiku ule. [/QUOTE]

Unajua nini? Wote ni wajanja, lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya mjanja aliekulia Monduli na mjanja aliyekulia Magomeni!!!
Umezungumza ukweli,kuna tofauti kubwa sana alikotokea sokoine na magomeni,strategically thinking differences?

Yes,big time!
 
Allah si ndo shetani/ibilisi. Lile joka lenye vichwa 7!!? Hatari......!!!

unaona wewe dogo unaejiita shifta,upuuzi wako unasababisha m/mungu anatukanwa hapa..!hii ni dhambi yako,ghazab za m/mungu zitashuka kwako kwa kuwa wewe ndio sababu ya yeye kukejeliwa hapa!yani unampenda lowassa mpaka uko tayari Allah azalilishwe!kijana una hatari sana wewe,lakini jamaa wanakutumia vibaya kinyume na maumbile na akili yako!
 
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......

nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe


WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015

Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn
JK si bado ana 3 years?

Na EL anazo same 3 years kujijenga na kupata kukuwakilisheni nyie mafisadi?

Usikurupuke kutangaza nani ni nani,ngoma bado mbichi ushaambiwa.
 
Kusema la ukweli - it is very difficult to contain Lowassa, whether we like it or not. Sooner than later, people will start referring him at the President of URT. Wait and see!
 
God forbid, na Sumaye tena Rais? Ndo tutalala doroooo,khaaa. He is not even a politician...
 
..bandiko lako nadhani linamchafua zaidi JK.

..hivi Kikwete amekulia magomeni??

..he has never identified himself with any other place but Msoga-Bagamoyo.
 
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......

nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe


WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015

Kwenye mizani uovu wake unazidi wema wake kwa mbali sana!
 
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......

nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe


WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015

Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn

naogopa tunaweza kuuza utu wetu kwa sahani ya pilau! hivi kwa nini tunasahau mapema hivi? hata kama kafanya mazuri yapi yalishapita acheni ujinga.
elewa mshahara ni vyanzo vya mapato jifunze kuwekeza uachane na unyonge wa kuwanyenyekea watu kwa vipato vyao!
usiwe mtumwa kwa ujinga.
 
bongo bwana. tunaangalia tu ubaya wa mtu lakini kamaalikuwa kafanya mazuri? pumbavu kabisa, mbona kikwete aliwatukana na bado mnakubali awe raisi wenu, shenzi taipu
 
Wenye kisilani walie tu, hakuna wa kumzuia EL kuwa rais 2015
 
Unazungumzia kima cha chini kipi? manake serikalini mtu anayeanza kazi na degree mshahara wake hauvuki laki tatu namaanisha 275,000/= au wewe unazungumzia ongezeko lipi?hebu tupe hoja inayoeleweka
 
Back
Top Bottom