Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajalipwa huyu ni kimada wake.Umelipwa kiasi gani? Msimu wenu huu....
Ikulu siyo pango la mafisadi wala siyo wodi ya wagonjwa .Siku kama ya Leo tarehe 7 mwezi februari 2008 nchi yetu ilikuwa katika hali ya sintofahamu katika kile kilichoitwa sakata la Richmond. Sasa ni miaka saba imepita zipo siri nzito zimejificha nyuma yake lakini siku hadi siku tunayaona mabadiliko na kukua kwa Imani ya Watanzania.
Baada ya Alhamis ile ambayo naiweza kuiita ni Alhamisi ya ushindi wa mahafidhina walio jaa damu ya watanzania kwa Maneno mafupi naweza sema kwa Lugha ya kiingereza (You can win a battle but you loose a war) mambo kadhaa sasa yamewekwa hadharani juu ya hayo na kupoteza mwelekeo wa taifa.
UKWELI WA SERIKALI KUSHINDWA KESI DHIDI YA RICHMOND.
Katika shauri la serikali lilofunguliwa dhidi ya iliyoitwa kampuni hewa ya Richmond, kama ilivyo njia fupi ya mfitini baada ya maelezo marefu ya kifitina ya Tume ya mwakyembe serikali iliishtaki Richmond kwa kupata mkataba kwa ulaghai , Richmond walijieleza mahakamani kwa vielezo vyote na kushinda kesi na hata serikali ilipo kata rufani ilishindwa tena , hii siri mahafidhina hawaitaki kuizungumza sababu mahakama ilithibitisha mkataba kuwa ulipatikana kihalali.
SIRI YA SERIKALI KUTOLIPA HATA SENT TANO KWA RICHMOND HADI LOWASSA ANAJIUZULU.
Lowassa aliamua kujiondoa katika serikali huku serikali ikiwa haijapata hasara hata ya sent moja kwani binafsi Edward Lowassa alijijua ni mtu safi na amejiuzulu kwa sababu ya tatizo la uwaziri Mkuu, Kwani malipo kwa Richmond yalisimamishwa hadi pale walipo shinda kesi mahakamani.
SIRI KUHUSU MITAMBO YA KUZALISHA UMEME YA DOWANS INAYO TUMIKA HADI LEO.
Mahafidhina wale wale kwa kutumia bunge la Samwel Sita walisema mitambo ile ya Richmond haiwezi kununuliwa na serikali kutoka Symbion kwani haiwashi kibatari huku Dr Rashidi akiwa amewaita wakaguzi huru kutoka Ujerumani na wakauthiditisha kuwa ipo imara, wakasababisha kujiuzuru kwa Dr Rashid na kuumbuliwa na Hillary Clinton na Obama kwa kuikubali walipo itembelea. laitani wangeinunua kama Dr Rashidi alivyo shauri tungelikuwa tunaokoa garama za capacity charge Toka kwa DOWANS.
KUSHUKA KWA UFAULU MARA KADHAA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI.
Wasomi na wataalamu mbali mbali wanao amini katika Vision au Creativity huamini njia pekee ya kufikia lengo la aliebudini ni kuwa mmoja ya watekelezaji , Edward Lowassa ni mmoja ya walio kuwa na dhamira ya dhati ya Elimu ,alisimamia shule za kata kujengwa nchi nzima takribani shule elfu moja toka 2006 hadi 2008, Kujiuzulu kwake kuna siri nzito ya Serikali ya kushindwa kujenga vyumba vitatu vya maabara,hili tunafichwa kuwa serikali imeshindwa kufikia lengo.
KUONGEZEKA KWA WIZI SERIKALINI NA UBADHIRIFU WA MALI ZA UMMA.
Hapa ndipo ilipo siri nzito ya takribani miaka saba sasa, Edward Lowassa alikataa kushiriki michezo michafu, mahafidhina waliozoea kula kwa takribani miaka miwili ya Uwaziri Mkuu mianya ya Rushwa ilizibwa na kiasi cha kufanya waunde na waandae zengwe la kumtoa katika nafasi, na wote walio shiriki katika kumng'oa Lowassa madarakani wanahusika katika masakata ya wizi hivi karibuni kuanzia ,Pesa za Congo kwa watu kuchukua pesa na kuwapeleka wanajeshi wetu vitani, Escrow, Nguzo za Kinyerezi, Vitambulisho vya taifa NIDA, Bandari na Vibali vya sukari.
MWISHO.
Watanzania wenzangu hebu tufumbuke macho, mtanzania mwenzetu anahatarisha maisha yake, furaha yake ya kuwa Tanzania , anapambana Siku zote kuufuta umasikini. Tutafakari siku ya Leo Tar 7/02 /2015 kwa maisha ya watanzania kwa maisha na mustakabali Wa Taifa . Ni imani yangu siku ya Leo itaonyesha tashwira ya taifa hili kuelekea Maamuzi na Matumaini Mapya na Edward Lowassa 2015.
Nashangaa kuona vijana mkiacha shule kushabikia ufisadi wa LowasaNYAMA CHOMA NA LOWASSA LEO TAR. 07/02/2015
Tunawakaribisha wana 4uovement wote leo mchana kuanzia saa tisa na nusu katika event ya NyamaChoma Festival leaders club kinondoni tukikumbuka miaka saba ya Edward Lowassa kujiuzulu.
Pale utawakuta vijana wetu wa 4U wakiwa wamevalia t-shirts zao...na kwa wale ambao hawana T-shirt na watahitaji zitakuwa zitapatikana pale kwenye banda No 5 la BFF BBQ,njoo pale tufurahie kwa pamoja huku tukibadilishana mawazo , njoo ushiriki katika kujitolea kumuongezea Edward lowassa marafiki kama wew ulivyo sasa yaani man to man influence, usikose kufika katika birthday ya Safari ya matumaini iliyoanza tarehe 7/02/2008 na leo ni 07/02/ 2015 tangu MAAMUZI MAGUMU YAFANYIKE NA EDWARD LOWASSA kwa kujiuzulu kwa maslahi ya serikali.
#Nyamachoma na lowassa banda no 5.BBF BBQ#
Na wote kwa ukubwa wa siku ya Leo tupost kila mahali ujumbe huu ukimbatana na picha
""Ni miaka saba ya maamuzi magumu kwa maendeleo ya taifa, tumetafakari na tuna matumaini mapya na Edward Lowassa 07/02/2008 - 2015.
MAAMUZI NA MATUMAINI MAPYA 2015.
Tena kavurugwa kweliOkello umevurugwa. Huwezi kuondoa harufu ya kinyesi kwa kukipuliza pafyum
Na Saed Kubenea
.............. Hii inathibitisha madai ya siku nyingi kwamba aliyeiteua Richmond kuingia mkataba na Tanesco, hakuwa Lowassa, alikuwa Kikwete. Ni wazi kwamba Kikwete alitumia ustadi mkubwa kuiteua Richmond, kwani alitumia kichaka cha Baraza la Mawaziri...........
soma hapo juu...
kakwambia nani?Ukitaka ku edit unaruhusiwa ku edit chapisho lako siyo la mwenzio
Wajameni hivi kwanini Lowassa anakosesha watu usingizi!
Asante Mama Salma