Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

kati ya wafanyakazi ninaowakubali na ntazidi kuwakubali ni mh Lowassa, kwanza i wish i new come later and are words for fulls but the reality is, better him for presidence rather than Kiwete. the guy is hard working yuko smart and on top of everything. sio propaganda tu nope! anafanya kazi sasa tulieyempa ametusaidia nn jamani????
mimi akigombea urais 2015 kura yangu anayo.....
 
Unajaribu kusafisha kimba!!!!!!, HALISAFISHIKI
Kamanda Gogle, Hakuna situation ambayo ni ya kudumu katika siasa. Situations zinatengenezwa na wanasiasa hivyo ni wao pia wa kuamua nani awe kimba au nani awe lulu. Leo mwanasiasa fulani naweza kuonekana lulu kesho akawa kimba au kinyume chake . Wanasiasa wenyewe ndiyo wanaoamua, wengine ni bendera fuata upepo.
 
Tatzo watanzania hatuwezi kusonga mbele kwa sababu ya kuhurumiana kwa ufisadi ukitaka nenda kamuulize nape kwanini walikosana kwenye ujenzi wa jengo la ujenzi wa vijana tatzo rushwa sasa mnaanza kupigana vikumbo kumsafisha kwani nchi hii ni lowasa tu why
 
Sikutegemea wewe mtoto wa June 5 2013 hapa JF kulielewa hilo. Ukishazoea JF na kuwajua Wakongwe wa hapa na uandishi wao basi utaelewa siku moja kwa nini hiyo Video imetokea hapo. Leo nakuacha tu ubwabwaje Mwanawane. Msula eve.

Mkuu hapo mwisho kabisa hapo...teh teh teh. Mambo ya Kinyamwezi hayo!!
 
Tatizo first family wame-capitalise sana na kuchafuliwa kwa Lowassa, ni kama uwepo wake as prime minister hungewazuia kufanya mishemishe zao,
Tangu Lowassa ajiuzuru first family imekuwa busy ku-accumulate wealth kwa njia mbalimbali, inawezekana uwaziri mkuu wa Lowassa ulikuwa tishio si kwa akina Sitta tu bali ata kwa rais na familia yake pia.
 
kura yangu haiendi ccm iwe jua au mvua!!!
 
Hili jembe watu wamelichukia sana sasa anahaha .
 
Kuondolewa kwake kiasi kulichangiwa na utekelezaji wa azimio la Abuja la mwaka 1987. Ila wale waliojiita makomanda dhidi ya ufisadi walitumika kichwa kichwa bila kujua siri iliyo nyuma ya pazia.:A S wink:
Umenipa 'homework' na kujikuta naingia hapa Raia Mwema - TANZANIA NA OIC: Lijue lengo kuu la Azimio la Abuja. Hata kama hili nalo limo, naamini Lowasa bado ni mchafu na fisadi la kutupwa! Eti...alijiuzuru kulinda chama! Yaani alijiuzuru kulinda wezi! He is an accessory to the crime.
 
Itabidi mh. afunguke tujue mbivu na mbichi kwa fikra zake mwenyewe. Ningependa hili angeliongea pia Utajiri wake ulianzia wapi maana nyumba nyingi masaki na oysterbay zikiulizwa wamiliki ni yeye. Tunajua Alphatel tu. Mfanyakazi wa serikali kuapata mtaji mkubwa ni kuzungumkuti yeye kiongozi wetu alifikaje hapo alipo.
 
16764_573415042673338_1532786761_n.jpg
 
CCM kweli vichekesho,ngoja tuendelee kuitazama hii video,ambayo mpaka sasa si sterring wala adui anayetambulika.
 
Nimekuwa kimya muda mrefu nikitafakali juu ya nani anafaa kushika usukani wa kuongoza nchi yetu na kutufikisha pale Watanzani tunapo hitaji kufika mara baada ya Mh J. Kikwete kumaliza ingwe yake, baada ya kutafakali kwa kina nakuona wewe Mh Edward Lwassa na kwa nyuma yako na muona Mh Dr Slaa. Kama nilivyo kuzoa na kujua kuwa unaweza kufanya maamzi magumu Mh Edward naomba useme chochote juu ya tuhuma hiyo dhidi yako Richimond ili wananchi tunao amini falsafa zako katika kujiletea maendeleo tujue ukweli juu ya hiyo tuhuma na hatimaye huyo Dr Slaa tuzidi kumuona nyuma yako hadi hapo watanzania tutakapo kukabidhi nchi na bila kusema chochote juu Richimond, Dr Slaa anaweza akawa mbadala wako hapo 2015!.
 
lwassa , nikitafakali

huwa nakereka kiswahili na majina ya watu yanapokosewa makusudi tena kwa kurudia rudia.

Au huyu Lwassa anagombea urais wa TFF.
 
mkuu mbna alishamuambia baba mwanaasha kweny vikao vyao!!naskia baba mwanaasha,akawa anaitikia ndio...Edward...ndio Edward...ndio Edward
 
Oooh kumbe amepandishwa cheo, kijijini kwetu tunajua bado ni waziri mkubwa sana aliyestaafu kwa mujibu wa kamati kwi kwi kwiiiii
 
Mimi naona sasa ni wakati wa kuendelea mbele kuhusu Luwasa tuna watanzania wengi wenye sifa ya kuwa Rais, yeye amepewa nafasi nyeti serikalini na akastaafu sasa ni wakati awaachie wenzie kama alitaka kulisafisha jina lake angeamua kutostaafu na kupinga tuhuma zilizosababisha astaafu akiwa kazini. Asilete hadithi za Abunawas na kwanini anangangania kiasi hicho Mungu anasema usililazimishe jambo linaweza kuwa halina kheri na wewe. Achana nalo!!!!
 
Back
Top Bottom