Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Mkuu ebu acheni Ujinga wengine hapa tunatumia akili na sii masaburi... Sasa kama habari hii ni yakweli.. Lowassa alijuaje na kutaka kuuvunja mkataba ikiwa mkataba ulikuwa wa JK rais wake....Halafu JK kusema tu alikuwa akipata ushauri wa makatibu wake (watendaji wa kiserikali) inaonyesha wazi JK alikuwa akifuata sheria na taratibu za kiserikali laa sivyo asingewahusisha makatibu wakuu kama alivyofanya Lowassa na ushahidi upo akiwaamrisha hao makatibu na waziri wafuate maagizo yake....Tafuta jingine!

Hayo ya 1997 we are interested ni kujikosha na kutafuta huruma za JK...Hata mahakamani mkosa baada ya kupatikana na kmakosa, hupewa muda wa kuomba, kujieleza kabla ya kuhukumiwa kifungo..

Mkuu, Let the Dead bury the Dead!
 
Kwa maana hiyo bunge liunde kamati ya kumchunguza kikwete na kashfa ya richmond, watanzania tuamke tushushe neti kumekucha tuikomboe nchi yetu tuhakikishe 2015 hawarudi ikulu watatumaliza!
\
Kweli mkuu hakuna msafi ndani ya hiyo system inayojitahidi "kujisafisha" Yes a total overhaul is the answer!!
 
Lowasa anashangaza kidogo:
-Hakuyasema haya alipopewa nafasi na Sitta pale bungeni. Akaishia kuachia ngazi.
-Mbona anahusisha ya JK mwaka 1997 na yanayomkumba sasa yeye?
-Sitta na kundi lake wamalizie ripoti ya Richmond?
-Tuendelee na utaratibu wa kupewa Rais wa nchi na wenye fedha?
Wamalizie vipi ile ripoti waliokiri wametuficha mengi!? na M'kyembe yuko India anaugulia "polonium"
 
quote_icon.png
By Rejao
Nape sioni kama kafanya kitu kibaya. Kama katibu mwenezi, alikuwa anafikisha ujumbe kwa wanachama wote juu ya yaliyoafikiwa kwenye kikao cha NEC cha April.Katika kikao cha Aprili NEC ilipitisha maazimio 26, lakini kubwa ni lile lililokuwa likihimiza vita dhidi ya ufisadi kuendelea na kutoa mwito kwa watu wanaotajwa na jamii kuhusika na ufisadi ambao wako ndani ya chama kujitathmini kisha kuchukua hatua za kuachia madaraka waliyonayo.
Azimio hilo pia lilieleza kwamba hao waliotuhumiwa wasipoachia madaraka chama kiwachukulie hatua mara moja.
Kwa maoni yangu naona alichokuwa akikifanya Nape ni kitu sahihi kabisa, ndio maana kila mtu alikaa kimya na hamna aliyemzuia.
Mmeshaanza kuwa wapole na bado kumbe mnaweza kumtetea kwa point sasa ile jeuri ilikuwa inatoka wapi but the dude is vanishing tafuteni tawi jingine mjishikize mapema. Mchawi akishakamatwa mizuka na misukule yote itatoka hadharani.
 
Wacha hasira mkuu Lowasa anaonekana ana mengi ya kutueleza ila ukumbuke mwanasiasa huongea ukweli kwenye jina lake tuu na sio hoja zake na mengineyo...lowasa haitaji huruma za jk bali jk ndio anahaha atamfadhili vipi lowasa kwa kufichiana siri...ikumbukwe kama jk angejiuzulu yeye ingekuwa balaa zaidi ndio maana akamuomba lowasa abebe adhabu yake ili aweze kujilinda na kumlinda yeye siasa mchezo wa hila

Mkuu, kama nilivyotarajia kujivua gamba ni usanii tu wa Magamba kuendelea kulindana katika "dili" zao. Tusubiri mengi tutayasikia lakini vitendo ni sifuri.
 
EL ni mwanasiasa aliyekomaa na anayesimamia anachokiamini.
 
Mkuu ebu acheni Ujinga wengine hapa tunatumia akili na sii masaburi... Sasa kama habari hii ni yakweli.. Lowassa alijuaje na kutaka kuuvunja mkataba ikiwa mkataba ulikuwa wa JK rais wake....Halafu JK kusema tu alikuwa akipata ushauri wa makatibu wake (watendaji wa kiserikali) inaonyesha wazi JK alikuwa akifuata sheria na taratibu za kiserikali laa sivyo asingewahusisha makatibu wakuu kama alivyofanya Lowassa na ushahidi upo akiwaamrisha hao makatibu na waziri wafuate maagizo yake....Tafuta jingine!

Hayo ya 1997 we are interested ni kujikosha na kutafuta huruma za JK...Hata mahakamani mkosa baada ya kupatikana na kmakosa, hupewa muda wa kuomba, kujieleza kabla ya kuhukumiwa kifungo..
Mkuu Mkandara huyu Bwn asituzughe labda awadanganye vilaza wenzake ndani ya CCM, VINGINEVYO HANA NAMANA YA KUKWEPA KASHA VAA MKENGE ATULIE TUU AACHE PAPARA!

Yeye alikuwa waziri mkuu kwa nini akuwataka ushauri hao makatibu wakuu, taarifa zinasema alishinikiza yeye kusiani huo mkataba! Labda alikuwa anamtega Mhs Rais JK maana uwezo wa kushawishi hao makatibu wavunje mkataba alikuwa nao!

Basi kama ni hivyo that's negligence performance of duty, a grave mistake resulting for Tanzania to experience staying in darkness (power cuts) for a long period of time!

Mweshimiwa EL aache usanii atulie Watanzania wamzodoe tuu, bado ana mambo mengi maovu yaliyo jificha tusimwamini huyo!!!!!!!!
 
Hivi kitu gani kinachowaaminisha watu kuwa EL anafaa kuwa president wa nchi hii?Hivi ni kwa nini mnafurahia sana juu ya jambo hili?kweli EL hakuwahi kuwa sehemu ya matatizo mengi ya watanzania?

Na je sasa hivi haendelei kuwa sehemu ya matatizo ya wa TZ.watanzania nawashauri kila mtu kwa nafasi yake tutafakari juu ya mambo haya,tutafakari vizuri urafiki wa hawa EL & JK kwa ku-relate na utawala.
 
Usitake ncheke(FF)!Kama hao ni references zako, basi umepotea kabisa! Hao wana mambo yao binafsi na wala hayausiani na chama kabisa. Ukiongelea mgawanyiko ndani ya CCM halafu ukawataja hao unaonekana kama kituko.

Rejao unapenda vibaya, ni kama unamfumania mgoni wako na mkeo then unamwachia aende bila kibano wakati ushahidi unao, hebu kumbuka ule mkutano wa JK siku za nyuma aliposema "hali si shwari kwani ndani ya vikao vya CCM watu hawaaminiani hata kuacha glasi ya maji wanapoenda chooni"

MWANAO KAMA NI MWIZI MUITE MWIZI NA USUBIRI MATOKEO HALISI YA MWIZI NA SI VINGENEVYO
 
Mkuu Pasco ebu tuvutie huo uzi kwa manufaa ya wasomaji.


Nape ni mtu niliyemwaminia sana CCM kuwa ni asset kubwa yenye very bright futute, alipoanza kupuliza vuvuzela la kujivua gamba, kuna kitu nilimweleza humu humu jf, sasa kimetimia!.

Masikini Nape sio asset tena, ni liability!.
 
Kwa hiyo mwenye Richmond ni JK???

Basi awajibike yeye!!
 
Lowassa mwizi tu anawaleeza nyie mlokuwepo chama na kumwona kwenda kanisani basi mnafikiri mtu mzuri sana..Kama yeye alikuwa mkweli kwa nini asiwahutubie Umma mzima wa Watanzania badala yake anaenda katika mikutano ya chama! anajua huko mmejaa masaburi watupu. Kikao cha chama CC wanatokea watu wanafokea wengine as if wao ni Miungu!..damn.

Yeye alikuwa waziri mkuu na sii katibu wa chama, hakuwahi kupendwa na Nyerere hadi leo hii wananchi hawampendi pengine huko kwenu CCM. Halafu naweza sema ni jambazi lililokubuhu yaani anatuondolea watu tu kila mwaka. Kesho sintoshangaa Nape mgonjwa anatakiwa kupelekwa India..
unapoanza kutoka kutoka njee ya mada unajionesha namna ulivyodhaifu
Lowassa ametumia vikao vya juu vya chama kujieleza na sii akina NAPE wanaopayuka kwenye media hata kama si makubaliano yaliyofikiwa na chama.

Yawezekana Lowassa akawa mwizi ILA HAPA KATUMIA VIKAO HALALI
nini kinachomzuia JK kumburuza Lowassa mahakamani kujibu juu ya Richmond kama JK haogopi kivuli chake?????///
 
Sioni la maana, sasa kama Kikwete alimwambia angoje ushauri wa Makatibu wakuu kuna kosa hapo?

Au ya 1997 Zanzibar yanahusu nini?

Hizi habari zimekaa kiudakuudaku hazina mshiko na zimekaa kifataani fataani, mtu aongee kuhusu Nape kwa dakika 7 halafu humu uweke maneno hayajai hata mstari mmoja? Hata angekuwa haongei anaya "spell" tu hayo maneno basi dakika 7 angejaza ukurasa.

Hizi habari ni za kifataani na hazina la maana hata moja, jamani hebu niambieni hapo kuna nini cha maana?
Kumbe hata wewe Faiza umeanza kuona mambo kwa uwazi au kuna kambi mbili kwenye meli moja?????????
 
Nilishasema hakuna kiongozi mwoga kama jk, he is the most coward person I have ever seen, hana msimamao wowote. Gamba na Napi are his own making lakini leo anashindwa kusimamia alilolianzisha, wala analoliamini. Ni aibu yeye leo kuwatosa napi na chiligati.

I am ashemed of him as my .....
 
Watu wanajua kujikosha kweli yaani maji yako shingoni ndo anajifanya kuzungumza???????
 
kati ya lowasana kikwete hakuna aliye nafuu wote wajinga tu
 
Back
Top Bottom